Taarifa ya habari TBC..Vichekesho vitupu!!!

Taarifa ya habari TBC..Vichekesho vitupu!!!

Mrs ma2mbo

Member
Joined
Dec 27, 2011
Posts
49
Reaction score
23
yani nimeangalia taharifa ya habari tbc leo,ilikuwa ni vichekesho vitupu.
Watangazaji wanaruhusu picha za habari zilizosomwa,matokeo yake camera zinabaki kuwamulika wao,picha yenyewe haiji basi wanabaki kukenua meno tu,tabasamu la uzuni ndio linapamba sura zao..
Hii kitu imekuwa ikijirudiarudia kwa muda mrefu sijui tatizo nini.
 
mafundi mitambo wao hawako makini: inawezekana hawana morali na kazi kwasababu ya masurufu wanayopewa kuwa madogo.
 
hadi mtazamaji unahisi kero.ubaya ni kwamba inatokea kila siku.mi nashauri wasomaji wa habari wakiona kimya wawe wanaita kwa sauti mafundi mitambo labda huwa wanalala
 
hawa jamaa wa TBC hata kiswahili kinawapiga chenga,wananchi wamekwenda kwa mkurugenzi wao kutoa malalamiko,wao wanasema WAMEVAMIA.upotoshaji mtupu!!!!!!!!!
 
Tangu atimuliwe kamanda Tido, tbc na magamba wamebweteka ka maharage ya majuz!Utendaj tatizo, nawashauri taften alternatv ya kuchek NEWS mfn itv, startv n.k inapobid!
 
Hiyo yote ni baada ya mh. Tirdo mhando kuondoka, no moral ktk kazi na inawezekana they are under paid
 
kwa hali hii ni wazi tbc iliondoka na tido wala wasikatae hakuna kipya cha msingi kilichoibuliwa zaid ya madudu tu eti twasema tuna tv ya taifa
 
kuajiri kwa kujuana ndio tatizo
wapo vijana waliosomea shahada za tv and video production nk wako mitaani
makanjanja ndio wapo studio.
 
mafundi mitambo wao hawako makini: inawezekana hawana morali na kazi kwasababu ya masurufu wanayopewa kuwa madogo.
...Wamefulia wale...walizoea kubebwa sasa hata mbebaji wao naye hoi..
 
Angalau ata wangekuwa wanapiga matangazo utakuta wamekaa tuu wanakenua meno.
Alafu sio mara moja ni mara nyingi tuu!
 
Back
Top Bottom