Hawa CDM siku zote ndio huwa wanapinga watoto wa viongozi kushika madaraka. Sasa nashangaa ndani ya CDM majina ya Nyerere yametawala.
Maskini kumbe ni wivu wa jina unakusumbua,pole sana.Nitaongea na Andrew akuoe ili nawe uitwe mama Nyerere maana ndiye ambaye hajaona katika watoto wa mwalimu.Kumbe tatizo siyo Leticia bali jina linakuuma. Maskini wa Mungu ndiyo maana una roho mbaya maana hujidhamini wewe mwenyewe badala yake unadhamini majina ya watu wengine. Too bad!
kwanini anatumia e-mail ya rocketmail badala ya chadema?
Naomba background ya hii kesi tafadhali na picha zake pia
Hawa CDM siku zote ndio huwa wanapinga watoto wa viongozi kushika madaraka. Sasa nashangaa ndani ya CDM majina ya Nyerere yametawala.
hata kama hana kesi marekani kwa nini ni mbunge tz halafu anaishi usa?
Mbona hamja2jibu kwann anachukua posho lakini anaishi nje?
kwanini anatumia e-mail ya rocketmail badala ya chadema?
Naomba background ya hii kesi tafadhali na picha zake pia
- Vincent Nyerere & Leticia Nyerere, au unasema je?
William.
hata kama hana kesi marekani kwa nini ni mbunge tz halafu anaishi usa?
Mbona hamja2jibu kwann anachukua posho lakini anaishi nje?
hata kama hana kesi marekani kwa nini ni mbunge tz halafu anaishi usa?
Tafuta ukweli kwanza ndiyo uje siyo tujadili hisia zako na umbea....
TATIZO KWANINI ANAISHI MAREKANI WAKATI ANAKULA MSHAHARA NA POSHO KAMA MMBUNGE WA TANZANIa.
William, Nafikiri Tatizo sio watoto wa Viongozi kuwa viongozi na wao. Tatizo linalolalamikiwa ni "mbeleko". nafikiri umenielewa. Kama CDM walitumia upendeleo kumpa Leticia ubunge hilo ni kosa. Ila nafikiri vigezo viliwekwa wazi na Dkt: Kitila Mkumbo kama msimamizi wa zoezi hilo. Mimi binafsi sipendi hiyo tabia. Wapo watoto wa viongozi wanafanya vizuri na wewe ni shahidi, ila wapo wengi tu waliobebwa wamekuwa ni mzigo kwa taifa letu.
William na Rejao wote wachumia tumbo.Mpo ccm kwa ajili ya kuvizia vyeo na si kitu kingine.Malecela umekosa ubunge Afrika Mashariki sasa umebaki kuwa kuvizia za uhisani.Mtafute Ridhiwani atkuunganisha na babake.Hamna hoja wote wawili.Hizo ni hoja za kipuuzi.Kama ubunge aliupata kihalali hilo halina shaka.Tunawalalmikia watu kama nyie mnaopenda kubebwa.Wewe willy watu walikutupa hawakutaka kukubeba na ndio maana ukashindwa ubunge.Mbona Makongoro ambaye hategemei fadhila anashinda?Wewe ulidhani jina hilo litakubeba?- Tena wanapinga hayo kufanyika ndani ya CCM tu, ila wakija kwao ni sawa kumbe unajua hili? Sawa sawa kwa mara ya kwanza kuona member anayejua ukweli!
William.