Taarifa ya bei ya vifaa vya umeme na ujenzi kuanzia Agosti 1, 2023

dr namugari

JF-Expert Member
Nov 19, 2022
9,410
15,993
Kufuatia kudorora kwa uchumi wetu na hili ni kutokana na udhaifu wa mamlaka ya juu kushindwa kusimamia uchumi ipasavyo, bei ya vifaa vya umeme na majenzi itapanda juu kuanzia mwezi wa nane kutokana na kupanda kwa dola za kimarekani kutoka 2309 Feb had 2650 Julai.

Vitu vingine vinatarajiwa kupanda zaidi kuazi mwezi huu wa nane na hivyo mjiandae kisaikolijiaa tena kwa kununua vitu muhimu kwa bei ya sasa hivi kabla hali hi haijawa mbaya zaidi.

Naiona Tanzania kama Zimbabwe, time will tell for sure.

Natoa rai, Rais Samia aondoke madarakani haraka sana kabla hali haijawa mbaya zaidi.

BOT mko mmekaa tu na kukalia vitambi wakati taifa linakwenda kudondokea pua.

Screenshot_20230731-133956.jpg
 
Ipande hadi ifike 10,000/= Tsh kwa dollar moja, hii itasaidia kuanza kufanya uzalishaji ndani na kuacha kununua nje., hata magari tuanze kusindika CNG ya hapa kwetu na kutumia kwenye magari., hata magari, tuanze kufanye restoration ya mikangafu ya ndani na kuipa usajili wa namba mpya.

HAKUNA BAYA LISILO NA JEMA NDANI YAKE.
 
Kuna miti na mapango. Na pia usiku kuna mwanga wa mwezi na nyota. Mbona mababu zetu waliweza?

Ila serikali inabidi sana kuwa serious kudhibiti infleshen. Tupotupo tu tunaishi kimungumungu na kubahatishabahatisha.
 
Ipande hadi ifike 10,000/= Tsh kwa dollar moja, hii itasaidia kuanza kufanya uzalishaji ndani na kuacha kununua nje., hata magari tuanze kusindika CNG ya hapa kwetu na kutumia kwenye magari., hata magari, tuanze kufanye restoration ya mikangafu ya ndani na kuipa usajili wa namba mpya.

HAKUNA BAYA LISILO NA JEMA NDANI YAKE.
Kufuatia kudorora kwa uchumi wetu na hili Ni kutokana na udhaifu wa mamlaka ya juu kushindwa kusimamia uchumi ipasavyo Bei ya vifaa vya umeme na majenzi itapanda juu kuanzia mweZi wa nane hili Ni kutokana na kupanda kwa dola za kimarekank kutoka 2309 Feb had 2650 July

Vitu vingine vinatarajiwa kupanda Zaid kuazi mweZi huu wa nane na hvyo mjinda e kisaikolijiaa Tena kwa kununua vitu muhimu kwa Bei ya SAS HV kbsa Hali hi haijawa mbaya Zaid

Bot mko mmekaah tu na kukalia vitambi wakti taifa linakwenda kudondokea pua View attachment 2703785
😂😂😂😂😆😆😆 Kupanda Kwa Dola sio ishu ya uzembe wa Serikali
 
Ipande hadi ifike 10,000/= Tsh kwa dollar moja, hii itasaidia kuanza kufanya uzalishaji ndani na kuacha kununua nje., hata magari tuanze kusindika CNG ya hapa kwetu na kutumia kwenye magari., hata magari, tuanze kufanye restoration ya mikangafu ya ndani na kuipa usajili wa namba mpya.

HAKUNA BAYA LISILO NA JEMA NDANI YAKE.
Shida ya Tanzania, uzalishaji upo chini sana hata hicho kidogo kuuza nje mifumo inakuwa migumu sana.
Mtu anauwezo wa kutengeneza picha akauza na hela akapata ikasaidia uchumi kuimalika. Sasa njia ya kupokea pesa hasa kwa hizi kazi unauza dola 1 au 2 mtandaoni.
Waruhusu paypal bila hivyo usd itakuwa juu kila siku.
 
Kufuatia kudorora kwa uchumi wetu na hili ni kutokana na udhaifu wa mamlaka ya juu kushindwa kusimamia uchumi ipasavyo, bei ya vifaa vya umeme na majenzi itapanda juu kuanzia mwezi wa nane kutokana na kupanda kwa dola za kimarekani kutoka 2309 Feb had 2650 Julai.

Vitu vingine vinatarajiwa kupanda zaidi kuazi mwezi huu wa nane na hivyo mjiandae kisaikolijiaa tena kwa kununua vitu muhimu kwa bei ya sasa hivi kabla hali hi haijawa mbaya zaidi.

Naiona Tanzania kama Zimbabwe, time will tell for sure.

Natoa rai, Rais Samia aondoke madarakani haraka sana kabla hali haijawa mbaya zaidi.

BOT mko mmekaa tu na kukalia vitambi wakati taifa linakwenda kudondokea pua.

View attachment 2703785
Ondoka wewe usiyejua uchumi.Miaka ya 1950,dola mojavilikuwa shilingi 5,imepanda mpaka ikafikia ilipo.Ni dunia nzima ndio hivyo hivyo.
Ndio ukasikia dala dala(yaani dola),wakati huo nauli ya daladala iliuwa shilingi 5.Angalia hapo Us dolar imepitwa na nchi hizoView attachment 2703831
 
Ni kweli ila kwa Tanzania mambo mengine tunajitakia wenyewe.
Tanzania hata njia ya kupokea pesa ni ngumu sana. Huwa natamani hata ningekuwa Kenya ni enjoy paypal.
Hela inaenda nje tu
kenya wanakuja kujifunza sana hapa maswala ya kiuchumi mkuu..kwa sasa wameshindwa hata kulipa mishahara
tanzania tuko vizuri sana ipende nchi yako mkuu
 
Ipande hadi ifike 10,000/= Tsh kwa dollar moja, hii itasaidia kuanza kufanya uzalishaji ndani na kuacha kununua nje., hata magari tuanze kusindika CNG ya hapa kwetu na kutumia kwenye magari., hata magari, tuanze kufanye restoration ya mikangafu ya ndani na kuipa usajili wa namba mpya.

HAKUNA BAYA LISILO NA JEMA NDANI YAKE.
Zamani ilikuwa dola moja ni shiling 5,miaka ya 1950 mpaka 1970,hii ni kawaida.Hata hiyo dola ziko pesa,zinazidiwa nazo.Hata dhahabu hupanda zaidi thamani kuliko US dolar.Angalia nchi ambazo pesa zao ziko strong kuliko US dolarView attachment 2703833
 
Back
Top Bottom