Mkuu hivi unajua maana ya ICD? Ngoja nikusaidie kiduchu.SSB suluhisho ni kulipa tu kodi mliyokwepa matamko hayasaidii.
Kama ripoti kamili haijatoka wewe hiyo habari ya kusemekana umeipata wapi mkuu?
Mkuu unaelewa lakini unachopinga?Wasituyeyushe hao SSB, kwani kontena /mizigo ikiingia kwao hakuna records? sasa wanalipwaje na TPA Kama hawana records ya mizigo inayoingia?
Haina haja ya kukanusha kabla ya ripoti kamili haijatoka..maana inasemekana kati ya hayo, 59 ni ya kwao
ALLAH akuzidishie yalo ya Kheyr na akuepushe na yote yalo ya Sharry IN SHAA ALLAH.
AMIN. AMIN. THUMMA AMIN.
Ujaona au haukupenda kilichoandikwa unataka kulazimisha fikra zako kuwa Bakhresa wanahusika na upotevu wa makontena.Binafsi sijaona taarifa hapa.
Ujaona au haukupenda kilichoandikwa unataka kulazimisha fikra zako kuwa Bakhresa wanahusika na upotevu wa makontena.
Mkuu isaidie serikali kuonyesha huo wizi kuna 3%.Wizi mtupuuuu
Nilikuwa na mpango wa kususia bidhaa za kampuni hii, lin kila nikiangaliaaa sioni mbadala!
Wewe ndio umeshindwa kusimplify. Hiyo ni akili ya kuwafanya wananchi washindwe kuelewa nini kinaongelewa. Kama kuna ukweli basi lugha ngumu itasaidia watu kutoelewa kinachozungumziwa. Ukiacha na contradiction ndio inapendeza. Waulize watu wa PR kama hiyo imeandikwa kwa bahati mbaya.Nafikiri aliyeandika hiyo taarifa ameshindwa kufafanua vizuri. Mwisho wa siku ataleta contradiction zaidi sababu ya kukosa ujuzi wa kuandika kiswahili cha kueleweka. Yeye alitakiwa afafanue ishu ya kodi coz wengi wameshachukulia bakhresa kakwepa kodi sio wengi wanaofahamu kuhusu icd. Anapeleka ujumbe nyeti kwa raia wa kawaida bila kusimplify.
Mkuu hivi unajua maana ya ICD? Ngoja nikusaidie kiduchu.
Manifesting Cargo to-Inland Container Depots.
Hiyo ndiyo maana ya ICD bandari kavu ambayo inamilikuwa na Bakhressa lakini shughuli zote humo zanafanywa na watu wa bandari na TRA.
Labda tufahamishe alipe kodi gani?
Huko ndijko kujambajamba......subiri uchunguzi