Taarifa: Mwili umeokotwa Bunju B

Taarifa: Mwili umeokotwa Bunju B

Hili tukio limenikumbusha last year, jirani yetu aliaga anaenda kwenye sherehe ilikua jmos ila hakurud n ndugu walihangaika sana kumtafuta kila sehem had mortuary bila matumaini.

Katika juhudi za kumtafuta mwili ulikuja kuonekana j3 maeneo ya kimara ukiwa umeharibika vibaya mno maana inasemekana walimuingilia vbaya n kuona hyo haitoshi wakamchoma na kisu kifuani!!

Kilikua kipindi cha majonzi sana maana aliacha watoto wa3 ambao bado walikua wadogo wanamuhitaji..

Wabakaj hawakukamatwa?
 
Juhudi zipi za ziada kwa tukio kama hili?

Matukio haya ni ya kawaida kwa kila nchi.

Sema wewe una taka kila kitu kiwe siasa.

Tangu awamu ya tano imeingia madarakani imdjitahidi sana kuzuia uhalifu na mdio maana tuko na amani.
Ficha ujinga wako awamu hii matukio haya ndio yameongezeka sana awamu zilizopita kulikuwa ni wizi kwenye mabenki wala hakukuwa na mauaji
 
Kama unadada yako hana kazi na anaishi Dar maisha mazuri tu chukueni tahadhari huyo ni mdangaji
 
Sasa hvi nikienda mahali lazima nimwambie mwana hadi namba za simu za nilio nao.
 
Haijawatokea kwa ndugu zao wa karibu ndo maana wanaona ni sawa.

Mwingine walimbaka wakamtia machupa chini hadi utumbo ukatoa Haja kubwa nje,, alipata na na mmoja ikaja team. Alikufa. Alikuwa barmaid
 
Vi unataka kumuharibia kaka angu maisha yake sio (sauti ya kaka ebi ngumi)
😂😂😂😂haharibiwi maisha inabidi aonyeshe uwanaume. Mwanaume sharti upambamie kilicho chako..sio unaibiwa unalia lia kama shabiki wa yanga
Mwanaume pambana mzigo ubaki tabata, huna nguvu wenye nguvu wanachukua jiko
 
kuna watu hawafanyaji hivi..
mimi hata niende wapi mama angu atajua tu.. Kama nahang out na rafiki zangu basi namba zao wote atakua nazo, Sio tu kwa ajili hio mambo ni mengi sana ,unaweza kupata ajali wakapuuzia kumbe ushajifiaga ukazikwa na site ndugu/jamaa /marafiki wanabaki na fumbo kuwa ulipotea.
Kuna mwaka kipindi cha usichana nilisema naenda kkoo kumbe kkoo nilitoka nikaenda safari zingine nikaibiwa nikaanza kuhaha kipindi kile hakuna tigopesa/bodaboda ndo zimeanza nikaenda kulala kwa shoga angu upanga halafu namba za home siijui hata moja.. wazee walinitafuta mortuary zote za Dar, Wakati huo huo kkoo mda nilioenda alipata ajali binti wa rika langu akafa mama angu alivyopata hio habari alilia usiku kucha, Kwanzia mwaka huo hata ningeenda sm kadhaa watajua tu ili wasije kupata shida kunitafuta.
Kwa maana hiyo umeshaolewa?
 
Mwingine walimbaka wakamtia machupa chini hadi utumbo ukatoa Haja kubwa nje,, alipata na na mmoja ikaja team. Alikufa. Alikuwa barmaid
Jaman... na huyo jirani yetu pia walimuingiza chupa huko chini, inaonekana alifariki kifo cha maumivu sana

Ni unyama ambao huwez kufkiria mtu anaweza kumfanyia binadamu mwenzake as if wana uhakika na maisha yao. Hata kama mtu kakukosea vp sidhan kama kumuua ni solution nzuri
 
kuna watu hawafanyaji hivi..
mimi hata niende wapi mama angu atajua tu.. Kama nahang out na rafiki zangu basi namba zao wote atakua nazo, Sio tu kwa ajili hio mambo ni mengi sana ,unaweza kupata ajali wakapuuzia kumbe ushajifiaga ukazikwa na site ndugu/jamaa /marafiki wanabaki na fumbo kuwa ulipotea.
Kuna mwaka kipindi cha usichana nilisema naenda kkoo kumbe kkoo nilitoka nikaenda safari zingine nikaibiwa nikaanza kuhaha kipindi kile hakuna tigopesa/bodaboda ndo zimeanza nikaenda kulala kwa shoga angu upanga halafu namba za home siijui hata moja.. wazee walinitafuta mortuary zote za Dar, Wakati huo huo kkoo mda nilioenda alipata ajali binti wa rika langu akafa mama angu alivyopata hio habari alilia usiku kucha, Kwanzia mwaka huo hata ningeenda sm kadhaa watajua tu ili wasije kupata shida kunitafuta.
Kutoa taarifa ni muhimu kwel
 
Juhudi zipi za ziada kwa tukio kama hili?

Matukio haya ni ya kawaida kwa kila nchi.

Sema wewe una taka kila kitu kiwe siasa.

Tangu awamu ya tano imeingia madarakani imdjitahidi sana kuzuia uhalifu na mdio maana tuko na amani.
Amani ya watu kuokotwa kwenye viroba ama wapinzani kupigwa risasi mchana kweupe?, Azori Gwanda, Alphonce Mawazo, list ndefu sana Pia kusingizia wapinzani na waandishi wa habari kesi za uhujumu uchumi, yaani huna hata aibu!!
 
tQUOTE="Nyange, post: 33515822, member: 22513"]
😭😭😭 RIP jamani, hii awamu lazima itupiwe lawama coz mtu akifa, hakuna juhuzi zinaoneshwa kuwa ni jambo baya, saivi watu wa kawaida kifo inaachukuliwa powa. Hizi damu zinazo mwagwa machozi hayatatuacha salama. Mungu hadhihakiwi, kumtaja tu bila kuishi kimatendo ni usanii. Sijui ni lini kiongozi wa nchi atapatikana yule anaye aminina kufuata matendo ya ki - Mungu?
Umepost Ujinga sijui nikushauri nini. You need emergency mental medical attention.Wakati mwingine kutokuchangia jambo kunamfanya mtu aonekane ana akili kuliko kuchangia tu kwa sababu Umeona uzi. Huyo Mwanamke unamfahamu? Ni Nani? Anawadhifa gani? Kuna Kitu kinaitwa motive, au dhumuni, kusudio, lengo ambalo huyu mtu akiuwawa kuna usalama gani kwa anayeuwa au faida gani.
[/QUOTE]
Hukupaswa kumtukana,ilitakuwa umueleweshe tu inatosha

Unajua binadamu tunatofautiana katika kufikiri na kuchambua mambo mbalimbali
 
Umepost Ujinga sijui nikushauri nini. You need emergency mental medical attention.Wakati mwingine kutokuchangia jambo kunamfanya mtu aonekane ana akili kuliko kuchangia tu kwa sababu Umeona uzi. Huyo Mwanamke unamfahamu? Ni Nani? Anawadhifa gani? Kuna Kitu kinaitwa motive, au dhumuni, kusudio, lengo ambalo huyu mtu akiuwawa kuna usalama gani kwa anayeuwa au faida gani.
Hukupaswa kumtukana,ilitakuwa umueleweshe tu inatosha

Unajua binadamu tunatofautiana katika kufikiri na kuchambua mambo mbalimbali
[/QUOTE]
Kwa nini alirukia lawama?
 
Back
Top Bottom