Taarifa: Mwili umeokotwa Bunju B

Taarifa: Mwili umeokotwa Bunju B

kuna watu hawafanyaji hivi..
mimi hata niende wapi mama angu atajua tu.. Kama nahang out na rafiki zangu basi namba zao wote atakua nazo, Sio tu kwa ajili hio mambo ni mengi sana ,unaweza kupata ajali wakapuuzia kumbe ushajifiaga ukazikwa na site ndugu/jamaa /marafiki wanabaki na fumbo kuwa ulipotea[emoji22].
Kuna mwaka kipindi cha usichana nilisema naenda kkoo kumbe kkoo nilitoka nikaenda safari zingine nikaibiwa nikaanza kuhaha kipindi kile hakuna tigopesa/bodaboda ndo zimeanza nikaenda kulala kwa shoga angu upanga halafu namba za home siijui hata moja.. wazee walinitafuta mortuary zote za Dar, Wakati huo huo kkoo mda nilioenda alipata ajali binti wa rika langu akafa mama angu alivyopata hio habari alilia usiku kucha, Kwanzia mwaka huo hata ningeenda sm kadhaa watajua tu ili wasije kupata shida kunitafuta.
Uko wapi. Umepanga kukutana na nani, nk
 
Just imagine!! Ni ukatili tu umewajaa

Yani nimeogopa mnoo. Watu wanahisi huyo mwanamke huenda akawa wa kibanda cha mkaa aliyepotea tokea jumatatu iliyopita. Alitoka akaaga wapangaji wenzake kwamba anatoka na hakurudi hadi Jana. Ndugu zake Waliweka hadi msiba Ila haijathibitishwa Kama Ndio yeye Ndio ndugu wameenda kuhakikisha Kama ndie
 
[emoji24][emoji24][emoji24] RIP jamani, hii awamu lazima itupiwe lawama coz mtu akifa, hakuna juhuzi zinaoneshwa kuwa ni jambo baya, saivi watu wa kawaida kifo inaachukuliwa powa. Hizi damu zinazo mwagwa machozi hayatatuacha salama. Mungu hadhihakiwi, kumtaja tu bila kuishi kimatendo ni usanii. Sijui ni lini kiongozi wa nchi atapatikana yule anaye aminina kufuata matendo ya ki - Mungu?
Juhudi zipi za ziada kwa tukio kama hili?

Matukio haya ni ya kawaida kwa kila nchi.

Sema wewe una taka kila kitu kiwe siasa.

Tangu awamu ya tano imeingia madarakani imdjitahidi sana kuzuia uhalifu na mdio maana tuko na amani.
 
Mrs Bishanga,Wanabaka kama binti kala pesa za watu na hataki kutoa chini
Wazazi waelimisheni mabinti zenu kwamba wawe makini wasile vya watu
 
yani ni post FB naenda kwa nani, niko wapi, nk???

kwanguu sioni kama ni akili hii inatumika, atleast usema mtu

akitoka kwenda mahali amuage mtu yyte amwambie anaenda wapi na kwa nani na kavaaje (atleast)

ila sio nijirushe FB au insta kusema namfata nani ili tu kuweka ushahidi NOP

mtu mwenyewe anakuja anapatikana kaharibika uso nguo nyeupe ishakua zambarau,utajuaje hata fb akaunt gani?
Wadau Ndio niko na Shemeji yenu hapa Tunaenjoy Kwetu pazuri tukitoka hapa Tunaenda tabata bima nyumbani kwake nyumba namba 208...Wadau mniombee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani nimeogopa mnoo. Watu wanahisi huyo mwanamke huenda akawa wa kibanda cha mkaa aliyepotea tokea jumatatu iliyopita. Alitoka akaaga wapangaji wenzake kwamba anatoka na hakurudi hadi Jana. Ndugu zake Waliweka hadi msiba Ila haijathibitishwa Kama Ndio yeye Ndio ndugu wameenda kuhakikisha Kama ndie
Maskin inawezekana pia, nliona taarifa ya yule dada. Inabd ndugu wafatilie wakautambue huo mwili. Apumzike kwa amani huyo dada
 
Wadau Ndio niko na Shemeji yenu hapa Tunaenjoy Kwetu pazuri tukitoka hapa Tunaenda tabata bima nyumbani kwake nyumba namba 208...Wadau mniombee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
aseee mkuuu badilisha room huyo shemeji kumbe umejimilikisha mwenyewe kaona location anakuja na shilawadu kuwafumania. 😂 😂 😂
 
Tujijengee utaratibu wa kuaga kila tukitoka hata ka unaishi peke yako sidhani kama utakosa jirani hapo geto ukichomoka unamstua oya nasogea kariakoo mara moja....
 
aseee mkuuu badilisha room huyo shemeji kumbe umejimilikisha mwenyewe kaona location anakuja na shilawadu kuwafumania. 😂 😂 😂
Nikibadilisha ntawajuza wakuu🤣
naomba jf ianzishe uzi wa wanaotaja location walizopo
 
Hili tukio limenikumbusha last year, jirani yetu aliaga anaenda kwenye sherehe ilikua jmos ila hakurud n ndugu walihangaika sana kumtafuta kila sehem had mortuary bila matumaini.

Katika juhudi za kumtafuta mwili ulikuja kuonekana j3 maeneo ya kimara ukiwa umeharibika vibaya mno maana inasemekana walimuingilia vbaya n kuona hyo haitoshi wakamchoma na kisu kifuani!!

Kilikua kipindi cha majonzi sana maana aliacha watoto wa3 ambao bado walikua wadogo wanamuhitaji..
 
Most likely chanzo ni wivu wa mapenzi au ubakaji!
Possibly ubakaji,kwa sisi tuliowahi kuishi vijiji vinavyopakana na wamasai tumeshahisi kitu hapo,maiti imekutwa ikiwa imevaa kiblauzi huku chini haikuvaa kitu,Tight iko pembeni na Viatu vya kimasai pembeni...
 
Wadau Ndio niko na Shemeji yenu hapa Tunaenjoy Kwetu pazuri tukitoka hapa Tunaenda tabata bima nyumbani kwake nyumba namba 208...Wadau mniombee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa hii itakua hatari
 
chonde chonde location ilimponza yusuph mlela "anajutia hadi na kesho"
🤣🤣Acha wavuane boxa bwana...Mi nawashikia mashati na simu zao Nawapa update kila kinachojiri eneo husika. Taarifa ni muhimu sana
 
🤣🤣Acha wavuane boxa bwana...Mi nawashikia mashati na simu zao Nawapa update kila kinachojiri eneo husika. Taarifa ni muhimu sana
Vi unataka kumuharibia kaka angu maisha yake sio (sauti ya kaka ebi ngumi)
 
tQUOTE="Nyange, post: 33515822, member: 22513"]
😭😭😭 RIP jamani, hii awamu lazima itupiwe lawama coz mtu akifa, hakuna juhuzi zinaoneshwa kuwa ni jambo baya, saivi watu wa kawaida kifo inaachukuliwa powa. Hizi damu zinazo mwagwa machozi hayatatuacha salama. Mungu hadhihakiwi, kumtaja tu bila kuishi kimatendo ni usanii. Sijui ni lini kiongozi wa nchi atapatikana yule anaye aminina kufuata matendo ya ki - Mungu?
[/QUOTE]
Umepost Ujinga sijui nikushauri nini. You need emergency mental medical attention.Wakati mwingine kutokuchangia jambo kunamfanya mtu aonekane ana akili kuliko kuchangia tu kwa sababu Umeona uzi. Huyo Mwanamke unamfahamu? Ni Nani? Anawadhifa gani? Kuna Kitu kinaitwa motive, au dhumuni, kusudio, lengo ambalo huyu mtu akiuwawa kuna usalama gani kwa anayeuwa au faida gani.
 
Back
Top Bottom