Taarifa: Mwili umeokotwa Bunju B

Taarifa: Mwili umeokotwa Bunju B

Kabisa wakuu.
Watu wanauliwa sanaa.
Na huku bagamoyo sababu ni mapori mengi.
Na hata polisi nao hawako makini Kivile.
Sasa kama yule waliomzika bila uchunguzi unafikiri kama kauliwa haki yake itapatikana kweli?
Inahuzunisha sana
Kuhusu vikawe ndio usiseme. Haiwezi pita miezi mitatu haijaokotwa maiti. Inasikitisha sana!
Naskia mitaa hiyo huwa maiti zinaokotwa sana. Mungu atuepushie
 
Likely ni ubakaji tu.

Gofu halafu tight pembeni!!
 
DH! kuna mama niliona jana anatangaza ITV kupotelewa na binti yake wa miaka 22, alisema aliaga anaenda msibani kwa rafiki yake na mama hamfahamu rafiki wa mwanae, tangu tarehe 9/11 hajamuona, alikuwa na huzuni sana Mungu asaidie tu asije kuwa ndie huyo alie okotwa.. Dunia kweli tambara bovu.
Na kuna mwingine originaleast kamtangaza mdada kuwa kapotea
 
Uko wapi. Umepanga kukutana na nani, nk
yani ni post FB naenda kwa nani, niko wapi, nk???

kwanguu sioni kama ni akili hii inatumika, atleast usema mtu

akitoka kwenda mahali amuage mtu yyte amwambie anaenda wapi na kwa nani na kavaaje (atleast)

ila sio nijirushe FB au insta kusema namfata nani ili tu kuweka ushahidi NOP

mtu mwenyewe anakuja anapatikana kaharibika uso nguo nyeupe ishakua zambarau,utajuaje hata fb akaunt gani?
 
Kabisa wakuu.
Watu wanauliwa sanaa.
Na huku bagamoyo sababu ni mapori mengi.
Na hata polisi nao hawako makini Kivile.
Sasa kama yule waliomzika bila uchunguzi unafikiri kama kauliwa haki yake itapatikana kweli?
Haki haiwezi kupatkana hapo maana wanachkulia 'sio wa muhimu'

Hko kitendo angefanyiwa mtu maarufu fasta uchunguzi ungefanyika n wangetangaza kwenye kila chombo cha habari
 
yani ni post FB naenda kwa nani, niko wapi, nk???

kwanguu sioni kama ni akili hii inatumika, atleast usema mtu

akitoka kwenda mahali amuage mtu yyte amwambie anaenda wapi na kwa nani na kavaaje (atleast)

ila sio nijirushe FB au insta kusema namfata nani ili tu kuweka ushahidi NOP

mtu mwenyewe anakuja anapatikana kaharibika uso nguo nyeupe ishakua zambarau,utajuaje hata fb akaunt gani?

Umeambiwa taarifa za jinai kama hizi tuwe tunapost facebook wewe unakutupuka na yako bila kufahamu jamii media ina kesi ambazo zinahusisha mambo ya kiuchunguzi au haufahamu?
 
Umeambiwa taarifa za jinai kama hizi tuwe tunapost facebook wewe unakutupuka na yako bila kufahamu jamii media ina kesi ambazo zinahusisha mambo ya kiuchunguzi au haufahamu?
mimi na wewe nani ame kutu puka?
 
Hii nchi ilipofika ni kubaya, haya matukio saizi ishakuwa kawaida kuyasikia masikioni. RIP dada.
 
Kwa usalama wenu, muwe mnapost taarifa Facebook hata kama unaonekana punguani lakini itasaidia upelelezi ukipatwa na majanga.
Unamaanisha huku Jf kunaweza kusiwe salama sana sio?
 
Kwa usalama wenu, muwe mnapost taarifa Facebook hata kama unaonekana punguani lakini itasaidia upelelezi ukipatwa na majanga.
Kuna muda natamani nijue wewe ni wa kike au kiume?. Muda mwingine ningetamani nijue zaidi ya hapo,lakini zingine itakuwa ngumu kwa mazingira haya,tuanzie hilo la juu (Sina nia ya kukufanya ujisikie vibaya kwa swali hilo. Kwa vyovyote vibaya nisamehe). Ila kwa ujumla unanifurahisha sana kwa midude unayoishusha hapa. Unaelimisha,unachangia,ni miongoni mwa watu bora kabisa hapa Jf
 
Back
Top Bottom