Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau wa JF.
Nafurahi kuwajulisha kuwa Tarehe 5/10/2019 kutafanyika Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi Kwenye Uwanja wa Uhuru Temeke kuanzia Saa Sita Mchana.
Katibu Mkuu wa CCM Dr. Bashiru Ally atahudhuria Akiwa Mgeni Rasmi.
Tafadhali Ndugu Mtanzania Mzalendo upatapo taarifa hii mjulishe Mwenzako na Usipange kukosa.
*Tanzania ya Kijani Inawezakana*
*Tunatest Mitambo*
*Ushindi Ni dhahiri*
*Nyumbu mtapata taabu Sana*
Nafurahi kuwajulisha kuwa Tarehe 5/10/2019 kutafanyika Mkutano Mkuu Maalumu wa Chama Cha Mapinduzi Kwenye Uwanja wa Uhuru Temeke kuanzia Saa Sita Mchana.
Katibu Mkuu wa CCM Dr. Bashiru Ally atahudhuria Akiwa Mgeni Rasmi.
Tafadhali Ndugu Mtanzania Mzalendo upatapo taarifa hii mjulishe Mwenzako na Usipange kukosa.
*Tanzania ya Kijani Inawezakana*
*Tunatest Mitambo*
*Ushindi Ni dhahiri*
*Nyumbu mtapata taabu Sana*