Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,090
- 219,146
- Thread starter
- #21
SwadaktaPolisi huwa hawaajiliwi kwa ajili ya kutumia akili zao, bali kwa ajili ya kutumwa na kuamrishwa
SwadaktaPolisi huwa hawaajiliwi kwa ajili ya kutumia akili zao, bali kwa ajili ya kutumwa na kuamrishwa
Kaa ukijua kwamba Shetani hana Rafikihii ndio stahiki yao, wacha wasote huko and no bail at all
Then what next ?Huyo boni yai ana mdomo sana wamminye mbupu tu.
Constitutional right, to be exact.Sasa tutaendelea kuwaletea taarifa za Watuhumiwa hawa kila baada ya muda mfupi , maana wanahamishwa hapa na pale kama Adamoo , Mbinu za Polisi wa Tanzania ni zilezile tangu mkoloni
View attachment 2974660
Ndiyo maana Marais wenye akili kama Ruto wanataka kuligeuza jeshi la Polisi liwe Police Services siyo jeshi!Sasa tutaendelea kuwaletea taarifa za Watuhumiwa hawa kila baada ya muda mfupi , maana wanahamishwa hapa na pale kama Adamoo , Mbinu za Polisi wa Tanzania ni zilezile tangu mkoloni
View attachment 2974660
Dp mwisho atafika ikulu tusipoangaliaPosta yote ni eneo huru la Bandari kwa sasa mwekezaji DP World
Afike mara ngapi ?Dp mwisho atafika ikulu tusipoangalia
😭😭😭😭😭😭😭Afike mara ngapi ?
Ataacha kiherere yeye mpaka kuku zimepotea lawama anaiangushia serikali huu ni uhuru uliopitiliza.Then what next ?
Wakili mzima anaandika kituo cha kati??? Sijui lini watu watajua hakuna kitu kinaitwa kituo cha kati bali ni Kituo Kikuu cha Polisi kwa mkoa husika.Sasa tutaendelea kuwaletea taarifa za Watuhumiwa hawa kila baada ya muda mfupi , maana wanahamishwa hapa na pale kama Adamoo , Mbinu za Polisi wa Tanzania ni zilezile tangu mkoloni
View attachment 2974660
ndio lazima wawajibike kadiri inavyohitajika na kwa mujibu wa sheria. Ni vizuri kua wastahimilivu na wenye subra 🐒Sasa tutaendelea kuwaletea taarifa za Watuhumiwa hawa kila baada ya muda mfupi , maana wanahamishwa hapa na pale kama Adamoo , Mbinu za Polisi wa Tanzania ni zilezile tangu mkoloni
View attachment 2974660
hata iwe namna gani kuwajibika lazima wawajibike ipasavyo kadiri walivyo husika kwenye walichokiibua 🐒Tuna Polisi WA ajabu mnoooo, ila niliwahi kuongea na Jamaa mmoja pale Central akasema "Kaka sio kwamba tunafanya kwa kupenda kwetu, watawala hawa"
mambo mengine shetani anasingiziwa tuKaa ukijua kwamba Shetani hana Rafiki
Nq tukimuacha akunje kona kidogo tu, anaingia wizara ya ngawira.Dp mwisho atafika ikulu tusipoangalia
Kumbe na wewe ni mjinga aisee! Sikujua.Ataacha kiherere yeye mpaka kuku zimepotea lawama anaiangushia serikali huu ni uhuru uliopitiliza.
Na wewe ni polisi mwenye division IV ya point 30 ?Au ni Polisi mwenye degree?Wakili mzima anaandika kituo cha kati??? Sijui lini watu watajua hakuna kitu kinaitwa kituo cha kati bali ni Kituo Kikuu cha Polisi kwa mkoa husika.
Unaona ulivyo mjinga 😃Na wewe ni polisi mwenye division IV ya point 30 ?Au ni Polisi mwenye degree?
Hawa ni majambazi waliopewa kibali.TUNA maaskari jina tu Tanzania,,,