TAARIFA MPYA: Kampuni kadhaa kubwa za mafuta zimesitisha usafirishaji wa mafuta kupitia Strait of Hormuz.

TAARIFA MPYA: Kampuni kadhaa kubwa za mafuta zimesitisha usafirishaji wa mafuta kupitia Strait of Hormuz.

Ozon

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2024
Posts
2,366
Reaction score
3,687
Makampuni kadhaa makubwa ya mafuta pamoja na makampuni ya usambazaji wa mafuta na petroli yamesitisha kwa muda usafirishaji wa mafuta, petroli na bidhaa kupitia Strait of Hormuz kutokana na mashambulizi ya Marekani dhidi ya Iran kwa mujibu wa ripoti kutoka Reuters.
 
wanazi wa marekani na wanazi waIRAN wote habari ya kupanda kwa bei ya mafuta adhabu tutaipata wote wapenzi wa TAIFA TEULE haya mjiandae mapro IRAN tunafunga mikanda soon bei ya mafuta juu
ninavyozikubari PETRO STATION( SHELI) za tanzania ghafra sana "stoki" itaisha wataanza kuagiza kwa bei juu
 
wanazi wa marekani na wanazi waIRAN wote habari ya kupanda kwa bei ya mafuta adhabu tutaipata wote wapenzi wa TAIFA TEULE haya mjiandae mapro IRAN tunafunga mikanda soon bei ya mafuta juu
ninavyozikubari PETRO STATION( SHELI) za tanzania ghafra sana "stoki" itaisha wataanza kuagiza kwa bei juu
CCM wamepata sababu.
 
wanazi wa marekani na wanazi waIRAN wote habari ya kupanda kwa bei ya mafuta adhabu tutaipata wote wapenzi wa TAIFA TEULE haya mjiandae mapro IRAN tunafunga mikanda soon bei ya mafuta juu
ninavyozikubari PETRO STATION( SHELI) za tanzania ghafra sana "stoki" itaisha wataanza kuagiza kwa bei juu
Iran basically just invented geopolitical OnlyFans for oil tankers. Subscription required- must not be a US ally.
 
Back
Top Bottom