Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 752
- 182
Polisi watakuwa wanavuta bangi jamani!! mtu keshalala na amezungukwa na polisi wapatao kumi kwa nini umuonyeshee mtutu?
Hii nchi inatakiwa waombaji wa kuomba toba juu ya matendo haya machafu na mabaya. Mungu ni mwema atatusikia. Amen
........
Taarifa ya maendeleo ya afya ya Kibanda jioni hii....
Habari za jioni wakuu,
Muda umekwenda lakini nimeona ni vyema tukashirikishana taarifa fupi tulizopata kutoka Afrika Kusini anakotibiwa Mwenyekiti wa TEF, Absalom Kibanda kama nilivyoahidi.
1. Tangu walipowasili jana katika hosipitali ya Milpark, Kibanda amekuwa akiendelea na matibabu kwa maana ya kufanyiwa vipimo mbalimbali vikiwamo CT Scan na X Ray hasa kichwani na sehemu nyingine za mwili ambazo zilipata majeraha.
2. Baada ya kukamilika kwa uchunguzi huo, jopo la madaktari wenye ujuzi wa aina tofauti, walikuwa akitarajiwa kukutana ili kusoma taarifa ya matokeo ya uchunguzi huo, ili kutafsiri maana ya matokeo hayo kisha kutoa mwelekeo wa nini kinafuata au aina ya tiba anayopaswa kupata Kibanda.
3. Taarifa nyingine ni kwamba, imebainika kwamba mfupa laini (fizi) uliopo kati ya pua na mdomo ni kama umekatika. Hii natokana na nguvu na nyenzo walizotumia watesaji kumgoa meno. Kutokana na hali hiyo ana maumivu makali sana kwenye kinywa chake.
4. Pia imebainika kwamba meno kama sita hivi katika kinywa cha Kibanda yamelegea. Haya ni tofauti na yale mawili yaliyongolewa katika tukio la awali.
5. Kesho Ijumaa Jukwaa la Wahariri litakutana katika mkutano wa wahariri wote ili kujadili hatua zaidi za kuchukua kwa maana mbili; kwanza ni kuhusu matibabu na afya ya Kibanda na pili usalama wa waandishi wa habari kikazi.
6. Uongozi wa Taasisi iitwayo Southern African Investigative Journalism Forum umemtembelea Kibanda katika hosipitali ya Milpark na kueleza masikitiko yake kuhusu yaliyomkuta. Wameahidi kushirikiana na taasisi za kihabari za Tanzania, kuchunguza tukio hilo kwa lengo la kupata majawabu ya nini kilichojiri na sababu za unyama huo.
Tutaendelea kuwaarifu hatua kwa hatua jinsi tutakavyokuwa tukipata taarifa kutoka Afrika Kusini.
--
Neville C. Meena,
Secretary General,
Tanzania Editors Forum - TEF,
Dar es Salaam - Tanzania.
Cell: +255 - 787 - 675555
+255 - 753 - 555556
wewe ni daktari uchwara full stop.umetrain chuo gani?mkuu, wewe ni ndugu wa familia? Mbona wakati ulimboka anatibiwa siri za matibabu yake hazikuvuja? Au mnafanya hayo yote kwa lengo la kuchochea maandamano. Mimi ni daktari na maadili yetu ya kazi haituruhusu kutoa siri za mgonjwa kwenye public. Ninaamini hata madaktari wa south afrika hawana tofauti na hapa kwetu kwani fani ni moja tu na tunafuata international standards code of conduct. Ninaamini hizo si taarifa za kidaktari bali ni za watu ambao hukaa pembeni kuzusha mambo ili watu wote tuelekeze fikra huko
wewe ni daktari uchwara full stop,hapa ndio umeandika nini sasa bwana ?doctormkuu, wewe ni ndugu wa familia? Mbona wakati ulimboka anatibiwa siri za matibabu yake hazikuvuja? Au mnafanya hayo yote kwa lengo la kuchochea maandamano. Mimi ni daktari na maadili yetu ya kazi haituruhusu kutoa siri za mgonjwa kwenye public. Ninaamini hata madaktari wa south afrika hawana tofauti na hapa kwetu kwani fani ni moja tu na tunafuata international standards code of conduct. Ninaamini hizo si taarifa za kidaktari bali ni za watu ambao hukaa pembeni kuzusha mambo ili watu wote tuelekeze fikra huko
Mkuu tofautisha uvumilivu na kutojitambua; Amini usiamini matukio ya kutekwa na kuteswa kwa waandishi wa habari na serikali ikiendeleza utamaduni wake wa kutoa majibu ya kukera, hayawezi tokea nchi yoyote ile isipokuwa Tanzania.
......
usilitaje jina la Mungu ovyo! Chukua hatua
Mkuu, wewe ni ndugu wa
familia? mbona wakati ulimboka anatibiwa siri za matibabu yake
hazikuvuja? AU MNAFANYA hayo yote kwa lengo la kuchochea maandamano.
mimi ni Daktari na maadili yetu ya kazi haituruhusu kutoa siri za
mgonjwa kwenye public. ninaamini hata madaktari wa South Afrika hawana
tofauti na hapa kwetu kwani fani ni moja tu na tunafuata international
standards code of conduct. ninaamini hizo si taarifa za kidaktari bali
ni za watu ambao hukaa pembeni kuzusha mambo ili watu wote tuelekeze
fikra huko
Mkuu, wewe ni ndugu wa familia? mbona wakati ulimboka anatibiwa siri za matibabu yake hazikuvuja? AU MNAFANYA hayo yote kwa lengo la kuchochea maandamano. mimi ni Daktari na maadili yetu ya kazi haituruhusu kutoa siri za mgonjwa kwenye public. ninaamini hata madaktari wa South Afrika hawana tofauti na hapa kwetu kwani fani ni moja tu na tunafuata international standards code of conduct. ninaamini hizo si taarifa za kidaktari bali ni za watu ambao hukaa pembeni kuzusha mambo ili watu wote tuelekeze fikra huko
ROMA alishasema tanzania 2na uoga ha2na aman.
2zidi kumshirikisha mungu ktk uta2zi wa matatizo haya
watanzania 2kopamoja ktk kipind hik kigumu, 2tazidi kukuombea.