Mkuu tofautisha uvumilivu na kutojitambua; Amini usiamini matukio ya kutekwa na kuteswa kwa waandishi wa habari na serikali ikiendeleza utamaduni wake wa kutoa majibu ya kukera, hayawezi tokea nchi yoyote ile isipokuwa Tanzania.
Tunashukuru kwa taarifa na tunazidi kumwombea kwa Mungu ampe nafuu na apone haraka. Matukio haya yanalenga kuwanyamazisha waandishi wa habari msiripoti mambo muhimu ya maslahi kwa Taifa lakini msirudi nyuma kamwe, tunawaombea na ukweli utasimama daima.