Taarifa kwa Umma: Nimezama kwenye penzi la single mama

Taarifa kwa Umma: Nimezama kwenye penzi la single mama

Kama ilivyo kwa watu wengi hata mimi sikuwa na wazo kuwa siku moja nitazama mazima kwenye penzi la single mama ila ndo hivyo niko kwenye mahaba mazito. Huyu binti wa miaka 32 nimetokea kumpenda mno kuliko CHADEMA wanavyopenda maandamano yasiyo na tija. Ni binti mwenye sura nzuri sana na umbo namba 8 ya kibantu. Hauwezi kuongelea uzuri wa mwanamke halafu usimtaje. Utakuwa umevunja kanuni nyingi sana.

Black beauty kutoka kabila mojawapo la southern highlands. Mimi kwa sasa ni baba wa mtoto mmoja niliyemkuta naye. Yaani kitu mashine mnato utadhani hajawahi shiriki lile tendo. Pia kwa bahati nimemkuta kama ana mimba. Sina uhakika sana ila nahisi anayo. Itakuwa bahati baada ya miezi 9 kuwa baba wa watoto wawili niliowakuta kwa mpenzi wangu.

Nimeandika huu uzi kuwajulisha tu. Sitaki ushauri wowote au kuonewa huruma. Ninawasihi ukimpata single mama kama anakupa furaha kuwa naye tu. Maisha mafupi sana haya kukaa kwa huzuni.
Sasa umeleta humu ya nini kama hutaki ushauri. Kila la heri. Ila nakupa pole
 
Kama ilivyo kwa watu wengi hata mimi sikuwa na wazo kuwa siku moja nitazama mazima kwenye penzi la single mama ila ndo hivyo niko kwenye mahaba mazito. Huyu binti wa miaka 32 nimetokea kumpenda mno kuliko CHADEMA wanavyopenda maandamano yasiyo na tija. Ni binti mwenye sura nzuri sana na umbo namba 8 ya kibantu. Hauwezi kuongelea uzuri wa mwanamke halafu usimtaje. Utakuwa umevunja kanuni nyingi sana.

Black beauty kutoka kabila mojawapo la southern highlands. Mimi kwa sasa ni baba wa mtoto mmoja niliyemkuta naye. Yaani kitu mashine mnato utadhani hajawahi shiriki lile tendo. Pia kwa bahati nimemkuta kama ana mimba. Sina uhakika sana ila nahisi anayo. Itakuwa bahati baada ya miezi 9 kuwa baba wa watoto wawili niliowakuta kwa mpenzi wangu.

Nimeandika huu uzi kuwajulisha tu. Sitaki ushauri wowote au kuonewa huruma. Ninawasihi ukimpata single mama kama anakupa furaha kuwa naye tu. Maisha mafupi sana haya kukaa kwa huzuni.
Ni vizuri ukauomba uongozi wa jamii forums wakubadilishie hili jina. Maana linaleta ukakasi! Watu wengine wanaweza wakakufikiria tofauti. Tena kuna kipindi mpaka picha uliweka ya huyo mama unayetumia jina lake.
 
Kama ilivyo kwa watu wengi hata mimi sikuwa na wazo kuwa siku moja nitazama mazima kwenye penzi la single mama ila ndo hivyo niko kwenye mahaba mazito. Huyu binti wa miaka 32 nimetokea kumpenda mno kuliko CHADEMA wanavyopenda maandamano yasiyo na tija. Ni binti mwenye sura nzuri sana na umbo namba 8 ya kibantu. Hauwezi kuongelea uzuri wa mwanamke halafu usimtaje. Utakuwa umevunja kanuni nyingi sana.

Black beauty kutoka kabila mojawapo la southern highlands. Mimi kwa sasa ni baba wa mtoto mmoja niliyemkuta naye. Yaani kitu mashine mnato utadhani hajawahi shiriki lile tendo. Pia kwa bahati nimemkuta kama ana mimba. Sina uhakika sana ila nahisi anayo. Itakuwa bahati baada ya miezi 9 kuwa baba wa watoto wawili niliowakuta kwa mpenzi wangu.

Nimeandika huu uzi kuwajulisha tu. Sitaki ushauri wowote au kuonewa huruma. Ninawasihi ukimpata single mama kama anakupa furaha kuwa naye tu. Maisha mafupi sana haya kukaa kwa huzuni.
Umekuwa mwanaume sikuhizi?, wewe si tuliambiwa ulitaka kubakwa na joni? Sasa umekuwa mme wa single mama
 
Ni vizuri ukauomba uongozi wa jamii forums wakubadilishie hili jina. Maana linaleta ukakasi! Watu wengine wanaweza wakakufikiria tofauti. Tena kuna kipindi mpaka picha uliweka ya huyo mama unayetumia jina lake.
Huo ushauri wako kawape CHADEMA
 
Katika mitaala ya chama cha wanaume, topic ya single mamas ni topic ngumu sana kueleweka. Hii module huwa wana feli karibu wanachama 98%.

Tuseme tu ukwel, single mamas wanapeleka moto mkali sana ,hapa wanaongoza 2.-.1
 
Kama ilivyo kwa watu wengi hata mimi sikuwa na wazo kuwa siku moja nitazama mazima kwenye penzi la single mama ila ndo hivyo niko kwenye mahaba mazito. Huyu binti wa miaka 32 nimetokea kumpenda mno kuliko CHADEMA wanavyopenda maandamano yasiyo na tija. Ni binti mwenye sura nzuri sana na umbo namba 8 ya kibantu. Hauwezi kuongelea uzuri wa mwanamke halafu usimtaje. Utakuwa umevunja kanuni nyingi sana.

Black beauty kutoka kabila mojawapo la southern highlands. Mimi kwa sasa ni baba wa mtoto mmoja niliyemkuta naye. Yaani kitu mashine mnato utadhani hajawahi shiriki lile tendo. Pia kwa bahati nimemkuta kama ana mimba. Sina uhakika sana ila nahisi anayo. Itakuwa bahati baada ya miezi 9 kuwa baba wa watoto wawili niliowakuta kwa mpenzi wangu.

Nimeandika huu uzi kuwajulisha tu. Sitaki ushauri wowote au kuonewa huruma. Ninawasihi ukimpata single mama kama anakupa furaha kuwa naye tu. Maisha mafupi sana haya kukaa kwa huzuni.
Binti wa miaka 32
 
Back
Top Bottom