wananhci wote tujiandae na kupambana na hii tume ya kifisadi iliyowekwa mfukoni na serikali ya CCM, Lubuva from being a good Judge to ccm follower
, na wewe Kailima Ramadhan umewekwa hapo haraka haraka na Kikwete ili uekeleze ila unachoambiwa kaa msukule ila sio tume huru
Hii nchi imeshauzwa.Ukiona uchaguzi unafanyika Tanzania lakini anayetoa tathimini ya nani atashinda yuko MAREKANI ujue huyo ndiye mnunuzi na ana haki ya kuchagua mtu wa kutawala nae nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.