PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,211
- 4,170
inasikitisha sana, yaani wengine watukaneeeeweeeeee, wazidishe na muda wa kampeni,
tume kimya kabisa,
wengine wakifanya shuguli za kuwatembelea wapiga kura wao,
tume ina tunga sheria na kuja na mikwara. Dah na yaona kwa mbaaaaaali ya kenya kwa mtindo uhu, amakweli kivuitu tutamwona tena hapa,
tume kimya kabisa,
wengine wakifanya shuguli za kuwatembelea wapiga kura wao,
tume ina tunga sheria na kuja na mikwara. Dah na yaona kwa mbaaaaaali ya kenya kwa mtindo uhu, amakweli kivuitu tutamwona tena hapa,