Mtapiga mayowe mwisho kabisa Mgombea anakuwa Mizengo Pinda na wassira waziri mkuu, huo ndo mpango mahususi
PINDA Rais ajae hilo halina ubishi mkuu hawa wengine vifuata upepo tu
Mtapiga mayowe mwisho kabisa Mgombea anakuwa Mizengo Pinda na wassira waziri mkuu, huo ndo mpango mahususi
Katika kuelekea kinyanganyiro cha URAIS 2015, AFISA wa usalama wa siku nyingi Mhe Membe inasemekana amekasirishwa sana na habari za kusemekana kwamba familia ya Rais Kikwete haina mpango naye tena kwenye urais na wamehamishia Nguvu kwa Mwigulu.
Kwasababu hizo ameamua kumvuruga Rais kupitia Usalama wa TAIFA kwa kuwatisha viongozi wa usalama wa zamani na sasa, kama ilivyoonekana hapa jamvini kuhusu habari za Mzee Mwangonda ambaye alifanya kazi kubwa sana kuboresha maslahi ya wana usalama nchi nzima.
Mzee Mwangonda ambaye ni mkulima wa Kawawa huko Mbozi siku hizi ametukanwa akihusishwa na UKAWA na lowassa kwa makusudi kabisa ili wafarakane na Mkurugenzi wa sasa Othman na yeye Membe afanikiwe kumfukuza Othman , mpango wake wa miaka mingi.
Jamani mgombane kwa URAIS lakini msiguse idara muhimu ya usalama wa TAIFA , mtatuua. Nawasilisha
Membe akiwa Rais wa nchi hii siku hiyo nitajisadia kariakoo, mtaa wa Congo, saa 6 mchana.
warioba mwenyewe umri ushasonga jioni na taa nyekundu nayo kwa pamoja,hata akikuunga mkono naye ni majanga tu kama yalivyo majanga mengine duniani
Katika kuelekea kinyanganyiro cha URAIS 2015, AFISA wa usalama wa siku nyingi Mhe Membe inasemekana amekasirishwa sana na habari za kusemekana kwamba familia ya Rais Kikwete haina mpango naye tena kwenye urais na wamehamishia Nguvu kwa Mwigulu.
Kwasababu hizo ameamua kumvuruga Rais kupitia Usalama wa TAIFA kwa kuwatisha viongozi wa usalama wa zamani na sasa, kama ilivyoonekana hapa jamvini kuhusu habari za Mzee Mwangonda ambaye alifanya kazi kubwa sana kuboresha maslahi ya wana usalama nchi nzima.
Mzee Mwangonda ambaye ni mkulima wa Kawawa huko Mbozi siku hizi ametukanwa akihusishwa na UKAWA na lowassa kwa makusudi kabisa ili wafarakane na Mkurugenzi wa sasa Othman na yeye Membe afanikiwe kumfukuza Othman , mpango wake wa miaka mingi.
Jamani mgombane kwa URAIS lakini msiguse idara muhimu ya usalama wa TAIFA , mtatuua. Nawasilisha
Mkuu Mbongo, asante kwa hii. Inaonekana kumbe Membe hamjui vizuri JK!. Endeleeni kudhania, kwa watu wanaomjua vizuri JK, wanajua anamuunga nani mkono na ndie atakayekuwa rais ajaye wa JMT.Katika kuelekea kinyanganyiro cha URAIS 2015, AFISA wa usalama wa siku nyingi Mhe Membe inasemekana amekasirishwa sana na habari za kusemekana kwamba familia ya Rais Kikwete haina mpango naye tena kwenye urais na wamehamishia Nguvu kwa Mwigulu.
Kwasababu hizo ameamua kumvuruga Rais kupitia Usalama wa TAIFA kwa kuwatisha viongozi wa usalama wa zamani na sasa, kama ilivyoonekana hapa jamvini kuhusu habari za Mzee Mwangonda ambaye alifanya kazi kubwa sana kuboresha maslahi ya wana usalama nchi nzima.
Mzee Mwangonda ambaye ni mkulima wa Kawawa huko Mbozi siku hizi ametukanwa akihusishwa na UKAWA na lowassa kwa makusudi kabisa ili wafarakane na Mkurugenzi wa sasa Othman na yeye Membe afanikiwe kumfukuza Othman , mpango wake wa miaka mingi.
Jamani mgombane kwa URAIS lakini msiguse idara muhimu ya usalama wa TAIFA , mtatuua. Nawasilisha
Membe akiwa Rais wa nchi hii siku hiyo nitakunya kariakoo, mtaa wa Congo, saa 6 mchana.
.............sure acheni mzee ajilie pension yake!!!!!! huyu Membe tushamjulia siasa zake chafu kuanzia Hans Kitine!!!! aiiiiSystem at work .....Mzee Apson apumzike bana ......siasa zitazidi kuchafua weledi wake ...
..............najua mko kazini, ndio akina Membe nyieWengine yetu macho lakini Apsoni katia aibu kweli kuwa mwenyekiti wa kamati ya kumsaidia Lowasa kuwa Rais yeye hakupaswa kuwa kambi yoyote ile angeweza kuwashauri wote kulingana na wanavyomfuata kutaka ushauri kwake.
Mkuu Mbongo, asante kwa hii. Inaonekana kumbe Membe hamjui vizuri JK!. Endeleeni kudhania, kwa watu wanaomjua vizuri JK, wanajua anamuunga nani mkono na ndie atakayekuwa rais ajaye wa JMT.
Wassira ndio Rais wetu mtarajiwa acha kumshusha Thamani, Bunda amemuaachia kijana mdogo aliyewahi kusoma na mimi pale UDOM anaitwa FrekaWassira anarudi Bunda kugombea ubunge ili awe waziri mkuu Wa Pinda, hii nchi full vichekesho
PINDA Rais ajae hilo halina ubishi mkuu hawa wengine vifuata upepo tu
Alishindwa Nyerere kuweka anayemtaka itakuwa JK ............
warioba mwenyewe umri ushasonga jioni na taa nyekundu nayo kwa pamoja,hata akikuunga mkono naye ni majanga tu kama yalivyo majanga mengine duniani
Tafakari vizuri hiyo kauli yako utajua ulichoongea hakipo ndani ya uwezo wetu.