Elections 2015 Taarifa kuwa Kikwete hamuungi mkono tena zamchanganya Membe

Bongo movie at work. Hapa mtakuja tu kusikia Nnape ndiye atakuwa mgombea kwa tiketi ya CCM na Wassira ndiye waziri mkuu. Mtu kama nape aje kuwa rais unafikiri nchi yetu itakwenda wapi? Mabaa maid wote hapa mjini aliokuwa anatembea nao ndio watakuwa wakuu wa wilaya na mikoa na washauri wake pia.
 
Katika kuelekea kinyanganyiro cha URAIS 2015, AFISA wa usalama wa siku nyingi Mhe Membe inasemekana amekasirishwa sana na habari za kusemekana kwamba familia ya Rais Kikwete haina mpango naye tena kwenye urais na wamehamishia Nguvu kwa Mwigulu.

Kwasababu hizo ameamua kumvuruga Rais kupitia Usalama wa TAIFA kwa kuwatisha viongozi wa usalama wa zamani na sasa, kama ilivyoonekana hapa jamvini kuhusu habari za Mzee Mwangonda ambaye alifanya kazi kubwa sana kuboresha maslahi ya wana usalama nchi nzima.

Mzee Mwangonda ambaye ni mkulima wa Kawawa huko Mbozi siku hizi ametukanwa akihusishwa na UKAWA na lowassa kwa makusudi kabisa ili wafarakane na Mkurugenzi wa sasa Othman na yeye Membe afanikiwe kumfukuza Othman , mpango wake wa miaka mingi.

Jamani mgombane kwa URAIS lakini msiguse idara muhimu ya usalama wa TAIFA , mtatuua. Nawasilisha

Membe akiwa Rais wa nchi hii siku hiyo nitakunya kariakoo, mtaa wa Congo, saa 6 mchana.
 
Wengine yetu macho lakini Apsoni katia aibu kweli kuwa mwenyekiti wa kamati ya kumsaidia Lowasa kuwa Rais yeye hakupaswa kuwa kambi yoyote ile angeweza kuwashauri wote kulingana na wanavyomfuata kutaka ushauri kwake.
 
warioba mwenyewe umri ushasonga jioni na taa nyekundu nayo kwa pamoja,hata akikuunga mkono naye ni majanga tu kama yalivyo majanga mengine duniani

ukimjibu mtu hivi, bonyeza pale palipoandika 'REPLY WITH QUOTE' halafu andika. umeelewa?
 
Katika kuelekea kinyanganyiro cha URAIS 2015, AFISA wa usalama wa siku nyingi Mhe Membe inasemekana amekasirishwa sana na habari za kusemekana kwamba familia ya Rais Kikwete haina mpango naye tena kwenye urais na wamehamishia Nguvu kwa Mwigulu.

Kwasababu hizo ameamua kumvuruga Rais kupitia Usalama wa TAIFA kwa kuwatisha viongozi wa usalama wa zamani na sasa, kama ilivyoonekana hapa jamvini kuhusu habari za Mzee Mwangonda ambaye alifanya kazi kubwa sana kuboresha maslahi ya wana usalama nchi nzima.

Mzee Mwangonda ambaye ni mkulima wa Kawawa huko Mbozi siku hizi ametukanwa akihusishwa na UKAWA na lowassa kwa makusudi kabisa ili wafarakane na Mkurugenzi wa sasa Othman na yeye Membe afanikiwe kumfukuza Othman , mpango wake wa miaka mingi.

Jamani mgombane kwa URAIS lakini msiguse idara muhimu ya usalama wa TAIFA , mtatuua. Nawasilisha

hivi waziri Membe na othman nani bosi kuliko mwenzie?
 
Katika kuelekea kinyanganyiro cha URAIS 2015, AFISA wa usalama wa siku nyingi Mhe Membe inasemekana amekasirishwa sana na habari za kusemekana kwamba familia ya Rais Kikwete haina mpango naye tena kwenye urais na wamehamishia Nguvu kwa Mwigulu.

Kwasababu hizo ameamua kumvuruga Rais kupitia Usalama wa TAIFA kwa kuwatisha viongozi wa usalama wa zamani na sasa, kama ilivyoonekana hapa jamvini kuhusu habari za Mzee Mwangonda ambaye alifanya kazi kubwa sana kuboresha maslahi ya wana usalama nchi nzima.

Mzee Mwangonda ambaye ni mkulima wa Kawawa huko Mbozi siku hizi ametukanwa akihusishwa na UKAWA na lowassa kwa makusudi kabisa ili wafarakane na Mkurugenzi wa sasa Othman na yeye Membe afanikiwe kumfukuza Othman , mpango wake wa miaka mingi.

Jamani mgombane kwa URAIS lakini msiguse idara muhimu ya usalama wa TAIFA , mtatuua. Nawasilisha
Mkuu Mbongo, asante kwa hii. Inaonekana kumbe Membe hamjui vizuri JK!. Endeleeni kudhania, kwa watu wanaomjua vizuri JK, wanajua anamuunga nani mkono na ndie atakayekuwa rais ajaye wa JMT.
 
System at work .....Mzee Apson apumzike bana ......siasa zitazidi kuchafua weledi wake ...
.............sure acheni mzee ajilie pension yake!!!!!! huyu Membe tushamjulia siasa zake chafu kuanzia Hans Kitine!!!! aiiii
 
Wengine yetu macho lakini Apsoni katia aibu kweli kuwa mwenyekiti wa kamati ya kumsaidia Lowasa kuwa Rais yeye hakupaswa kuwa kambi yoyote ile angeweza kuwashauri wote kulingana na wanavyomfuata kutaka ushauri kwake.
..............najua mko kazini, ndio akina Membe nyie
 
Mkuu Mbongo, asante kwa hii. Inaonekana kumbe Membe hamjui vizuri JK!. Endeleeni kudhania, kwa watu wanaomjua vizuri JK, wanajua anamuunga nani mkono na ndie atakayekuwa rais ajaye wa JMT.

Alishindwa Nyerere kuweka anayemtaka itakuwa JK ............
 
Wassira anarudi Bunda kugombea ubunge ili awe waziri mkuu Wa Pinda, hii nchi full vichekesho
Wassira ndio Rais wetu mtarajiwa acha kumshusha Thamani, Bunda amemuaachia kijana mdogo aliyewahi kusoma na mimi pale UDOM anaitwa Freka
 
Back
Top Bottom