oldd vampire
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 253
- 52
kuna mwanachuo mwenzangu kanipa taarifa kua bodi wametoa majina leo katika gazeti la daily news..na wametoa na majina ya wanafunzi ambao hawaku cmfirm OLAS alafu deadline tar 2 oct..nimejaribu kuangalia katika website yao cjaona hiki ki2..sas kama kuna anae jua hizi taarifa anifahamishe