Taarifa hizi ni za kweli kuhusu HESLB?

oldd vampire

JF-Expert Member
Jun 3, 2011
253
52
kuna mwanachuo mwenzangu kanipa taarifa kua bodi wametoa majina leo katika gazeti la daily news..na wametoa na majina ya wanafunzi ambao hawaku cmfirm OLAS alafu deadline tar 2 oct..nimejaribu kuangalia katika website yao cjaona hiki ki2..sas kama kuna anae jua hizi taarifa anifahamishe
 
Eleweka uzuri. Maana kwenye website ya Bodi ya mikopo kuna majina ya waliopata na kukosa mikopo na sababu za kukosa na zinafunguka uzuri au sema taarifa zako uangaliwe na sina uhakika na gazeti na yaliyomo pia.
 
yani kwa wale continuing students..si tuliambiwa tu apply on line?sasa wanasema sio wote walio comfirm..na wametoa majina ya hao wanafunzi..but nimesikia tuu mi mwenyewe sina hakika
 
Nami nimepata taarifa híi sasa jamaa kanipigia cm anasema kwenye gazeti la guardin la tarehe 2 mwez huu.Sasa cjuwi ndo hv na 2tapata wapi gazeti hzo! Salale! Walahi!
 
hongeren sana heslb, naomba wana JF 2wapgie makof, hakika wamefanya kaz nzur ya kumwonyesha kila aliyekosa mkopo sabab za kukosa kwake, hii itasaidia sana watu kupata hak zao kwa ushahid, hasa lile kundi la PREVIOUS LOANEES, hapa inaonekana kuna wa2 walisha befit mkopo kuptia majina ya wa2 wengne, NAIOMBA HESLB IWABAINI WA2 HAO NA HATUA KALI ZICHUKULIWE JUU YAO. Na kama ni m2 amebainika kuomba mkop mar ya 2 pia akamatwe maana huo ni UHUJUMU .
 
hongeren sana heslb, naomba wana JF 2wapgie makof, hakika wamefanya kaz nzur ya kumwonyesha kila aliyekosa mkopo sabab za kukosa kwake, hii itasaidia sana watu kupata hak zao kwa ushahid, hasa lile kundi la PREVIOUS LOANEES, hapa inaonekana kuna wa2 walisha befit mkopo kuptia majina ya wa2 wengne, NAIOMBA HESLB IWABAINI WA2 HAO NA HATUA KALI ZICHUKULIWE JUU YAO. Na kama ni m2 amebainika kuomba mkop mar ya 2 pia akamatwe maana huo ni UHUJUMU .
<br />
<br />
cdhan ka hzo taarifa ni za kwel,kuna dogo mwaka jana walimpa mkopo 0% akashndwa kuendelea na chuo pale udsm,mwaka huu kaaply tena wanamuambia ameish benefit mkopo,kivip sasa?loans board,be serious wajamen.
 
je wale waliokosa coz of uhaba wa fedha wapo ktk nafas ipi?au ndo wametupwa moja kwa moja
 
nlkua pale bod leo hakuna m2 alyepewa jb zuri ktk makund yote, kila m2 alieleza shda yake lkn mwisho wakuambia bajet imekwisha hata kama watarekebisha tatizo la fom zako. kesho kuna mkutano pale wizarani saa 6.
 
ni bora waturekebshie hayo matatzo ya fom zetu ili tuwe na uhakka wa kuingia vyuon na kupata mkopo
 
Back
Top Bottom