Mikael Aweda
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 2,973
- 3,901
ivi taarifa au tathmni ya utendaji wa mbunge inafanywa na yeye mwenyewe tena kwa kupenda/hiari, #ChangeTanzania.
Mkuu,
Kwa mujibu wa katiba na sheria zetu hakuna mtu anayetathmini kazi ya mbunge ndio maana watu wengi wanakimbilia huko. Ukiona mtu analeta tathmini ya kazi yake ujue anajiamini sana. Kama huna cha kutathmini una ingia mtini miaka 5 na hakuna wa kukuuliza. Kisha unaibuka na Rushwa ya kuhonga wapiga kura ndani ya chama na nje, then unarudi bungeni au unakwama. life goes on.
Hiki kizazi cha kina mnyika ndio kinataka kufungua ukurasa mpya. Ina maanisha kuwa tuna kitu cha kuandika kwenye katiba mpya kuhusu utaratibu wa kutathmini wabunge na ukomo wao.
Pili, si lazima mbunge akae miaka 5 kama ameshindwa. La kwa sasa no way, ndo hivyo.