Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,831
- 1,707
- Thread starter
- #21
sio mbaya ukasema hayo maneno ili tuyatazame.
Usiwe kama viongozi wa chama fulani wanaosema 'tusipokuwa makini mbegu ya udini itatumaliza', bila kutwambia u wapi huo udini.
Sawasawa?
nenda youtubeangalia,'kubali matokeo','huyu simtoi' sijui najiamini huna mambo ...ukiangalia kwa undani either ni nyimbo ya nyumba kubwa au ndogo 'ikiitoleana uvivu' kuhusu mume.