Beesmom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 37,360
- 91,912
Mapenz ni starehe Wala siyo ugomvi.....na unapoenda kuonana na mwenzio unajua kabisa waenda kustarehe.....sasa tukubaliane kwenye faragha zetu ni ruksa kushikwa popote Ili mradi tu najisikia vizuri kufanya hivyo
I mean tusipangiane pa kushika... wanawake wastaarabu kidogo hawana Ubishi mwingiii....nyie wanaume mmenielewa? Nauliza mmenielewa?
NB:Likizo ndo imeanza msiponipa Kaz ya kufanya hakika mie ndo nitawapa. siku njema wapendwa😘😉
I mean tusipangiane pa kushika... wanawake wastaarabu kidogo hawana Ubishi mwingiii....nyie wanaume mmenielewa? Nauliza mmenielewa?
NB:Likizo ndo imeanza msiponipa Kaz ya kufanya hakika mie ndo nitawapa. siku njema wapendwa😘😉