TAA ZA CONCERT NA VITI

Silima MK

Member
Mar 10, 2018
23
24
Habari wadau, taa kwa ajili ya tafrija mbali mbali pamoja na viti vinauzwa. Bei ya taa ni mil. 12 kwa taa zote na viti ni sh. 40,000/= kwa kiti kimoja. Viti vipo mia sita na taa zipo 27. Tafadhali nipigie 0621882020 kwa maelezo zaidi.
IMG-20190731-WA0003.jpeg
IMG-20190731-WA0002.jpeg
IMG-20190731-WA0000.jpeg
IMG-20190731-WA0001.jpeg
 
Nikiona taa inauzwa 12milioni nashtuka sana,sisi wengine tunajua taa ya chemli tu ambayo haizidi msimbazi.
Msinishangae wajameni mimi nipo Koromije!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom