hizo taa zinakuwa na kitu kinaitwa light dependent resistor (LDR) ambazo resistance yake inafanya kazi kutokana na light intensity. Kwa mfano (LDR nyingine) wakati kunapokuwa na mwanga mwingi (e.g mchana)resistance yake inakuwa kubwa hivyo umeme hauruhusiwi kupita na taa hapo ndipo zinapokuwa off. Na mwanga unapopungua kama mda wa jioni na resistance yake ya electric current inapungua hivyo current inaruhusiwa kupita hapo ndipo unaziona hizo taa zikiwaka automatically.
hizo taa zinakuwa na kitu kinaitwa light dependent resistor (LDR) ambazo resistance yake inafanya kazi kutokana na light intensity. Kwa mfano (LDR nyingine) wakati kunapokuwa na mwanga mwingi (e.g mchana)resistance yake inakuwa kubwa hivyo umeme hauruhusiwi kupita na taa hapo ndipo zinapokuwa off. Na mwanga unapopungua kama mda wa jioni na resistance yake ya electric current inapungua hivyo current inaruhusiwa kupita hapo ndipo unaziona hizo taa zikiwaka automatically.
Inategemea na aina gani ya barabara i.e. kuanzia za mtaa mpaka barabara kuu. Teknolojia ziko nyingi na manufacturers wapo wa kila aina............inategemea pia unafuata specifications zipi..........cha msingi lighting level lazima zi-meet minimum requirements za specs husika..........
taa nying za barabarani zinategemea sana na hali halisi ya mwanga........unapokuwa mdogo zinawaka automatic...mambo ya photcell hayo...........power source ziko za aina nyingi......maporomoko ya maji, jua, mafuta, upepo, nuclear, makaa ya mawe nk nk
hizo taa zinakuwa na kitu kinaitwa light dependent resistor (LDR) ambazo resistance yake inafanya kazi kutokana na light intensity. Kwa mfano (LDR nyingine) wakati kunapokuwa na mwanga mwingi (e.g mchana)resistance yake inakuwa kubwa hivyo umeme hauruhusiwi kupita na taa hapo ndipo zinapokuwa off. Na mwanga unapopungua kama mda wa jioni na resistance yake ya electric current inapungua hivyo current inaruhusiwa kupita hapo ndipo unaziona hizo taa zikiwaka automatically.