Mnatuvunja mioyo sisi tunaotaka kuja huko...taa tu 270k!!!!😪270k
Halafu ni kale kataa kadogo!Mnatuvunja mioyo sisi tunaotaka kuja huko...taa tu 270k!!!!😪
Mpya unapata mbili....inaweza kipungua ila sio chini ya 240kMpya au used?
Wanauza kwa moja au taa zote?
Kuna jamaa yangu alinunua 270k tukabisha tukajua kaliwa kuzunguza bei ya chini kabisa ilikua 250kMnatuvunja mioyo sisi tunaotaka kuja huko...taa tu 270k!!!!😪
Yani Fog light tu bei hiyo,je Head Lump itakuwaje!Halafu ni kale kataa kadogo!
😂🤣 watu wanadhani ni kuangalia ulaji wa mafuta tuMnatuvunja mioyo sisi tunaotaka kuja huko...taa tu 270k!!!!😪
Yani hapo nikiongeza 250000 nanunua injini mpya naweka kwenye Fekon yangu.aisee kumbe mimi nitaendesha pikipiki maisha yangu yote..☹😨🥺😂🤣 watu wanadhani ni kuangalia ulaji wa mafuta tu
mkuu tusikate tamaa namna hiyo😁😅Yani hapo nikiongeza 250000 nanunua injini mpya naweka kwenye Fekon yangu.aisee kumbe mimi nitaendesha pikipiki maisha yangu yote..☹😨🥺
😝Yani hapo nikiongeza 250000 nanunua injini mpya naweka kwenye Fekon yangu.aisee kumbe mimi nitaendesha pikipiki maisha yangu yote..☹😨🥺
Duh ngoja nikomae kwenye Carina ti270k
Cheki kwenye mitandao kama eBay utapata kwa bei rahisiNaulizia bei ya kile kitaa kidogo cha chini cha harrier upande wa nyuma
Picha
View attachment 1804231
80000 kwa mojaNaulizia bei ya kile kitaa kidogo cha chini cha harrier upande wa nyuma
Picha
View attachment 1804231