mahenda255
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 510
- 674
Habari za asubuhi wakuu!
Nimejaribu kupitapita kwenye mitandao ya kijamii nikitafuta gari used kwa mtu angalau na mie nipate usafiri hapa mjini.
Nimeona madalali wanapost gari hizi kwa bei ya kutupa, ukizingatia ni SUV na specific sawa na gari kama harrier na Kruger lakini nashangaa kukuta no.D iliyosimama inauzwa mil.6
Au shida ni upatikanaji wa spare?
Nimejaribu kupitapita kwenye mitandao ya kijamii nikitafuta gari used kwa mtu angalau na mie nipate usafiri hapa mjini.
Nimeona madalali wanapost gari hizi kwa bei ya kutupa, ukizingatia ni SUV na specific sawa na gari kama harrier na Kruger lakini nashangaa kukuta no.D iliyosimama inauzwa mil.6
Au shida ni upatikanaji wa spare?