Atclkwanza
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 823
- 998
Muda huu naenda mwanza Security machine kwenye cheki point inatumika moja tu zingine hazina wafanyakazi ni usumbufu mkubwa, mnamwangusha Mbarawa acheni kufanya kazi kwa mazoea,Naomba wahusika wahojiwe kuna kitu gani mnataka kupitisha kwa magendo.
Badilikeni bwana.
Badilikeni bwana.