- Thread starter
- #21
soma vizuri imeandikwa si wanandoa (they are excluded)Duu,hiyo kali kama kuna wanandoa wasiojuana tena...i dont think kama hii kitu ni kweli.
soma vizuri imeandikwa si wanandoa (they are excluded)Duu,hiyo kali kama kuna wanandoa wasiojuana tena...i dont think kama hii kitu ni kweli.
soma vizuri imeandikwa si wanandoa (they are excluded)
izimwe,maana wengine tuna asili ya aibu kumegana huku unanitazama sintaenjoy.
Tall, unashida nyingi zikusumbuazo!!!Ukifika wakati wa chakula cha usiku, wapo baadhi ya watu lazima taa izimwe,je ni aibu? au kuogopa kupigwa chabo? amini usiamini wapo wapenzi( si wanandoa)
ambao hadi leo hawajuani mwenzie yupo vipi. japo kila siku wanavunja amri ya saba.Tena sio kuzima taa tu ila pamoja na kuzima taa bado mnajifunika shuka gubigubi, mwe? wewe mwana JF unasemaje taa izimwe? isizimwe?
We are not the same!
Nadhani wewe una shida nyingi zaidi yangu mheshimiwa, maana baada ya kufikiria shida zako tayari unajumulisha na shida za wengine je?fulani (tall) ana shida nyingi eeh? hizi thread ni mambo yanayotokea mara kwa mara kwenye mapenzi. Siyo lazima mtoa thread awe ndilo linamhusu/msumbua au yupo vile, lakini wapo wanaobenefit na michango ya watu kutokana na thread hizi,ni ukweli uliowazi kuwa hata wewe aidha unapenda kuzima taa au unapenda iwake,hapa lengo ni kupata faida na hasara za kuwasha au kuzima taa,baada ya mjadala wana JF wataamua upande gani wautumie na unafaa zaidi, na kwa kweli nawaheshimu wote na na uheshimu mchango wa mawazo wa kila mtu. Mfano mwanaume anaweza akatetea sana hapa ndoa ya wake wengi,lakini kwa ukweli ana mke mmoja, na hafikilii kuongeza. Hapa wakati mwingine ni kama debate vile,hadi hapo utaelewa kama nina shida nyingi au la.Tall, unashida nyingi zikusumbuazo!!!
Ukifika wakati wa chakula cha usiku, wapo baadhi ya watu lazima taa izimwe,je ni aibu? au kuogopa kupigwa chabo? amini usiamini wapo wapenzi( si wanandoa)
ambao hadi leo hawajuani mwenzie yupo vipi. japo kila siku wanavunja amri ya saba.Tena sio kuzima taa tu ila pamoja na kuzima taa bado mnajifunika shuka gubigubi, mwe? wewe mwana JF unasemaje taa izimwe? isizimwe?
why not dim the light tu! Utakula vitu zisovoliwa gizani ahahahahha!