Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Polee.
Teremka upande basi jengine.
Ila sasa wenye gari wapulize dawa abiria wengine wasiwabebe na kuwapeleka majumbaniHoa Kunguni si wameletwa humo na Abiria?
Chukua namba ya gari, litafute upande, utawaona
Hamia Ukanda huu wa mbezi beach, Bunju ect
Tuonyeshe na picha ya abiria wanaojikuna na kutokwa damu kwa ajili ya hao kunguni na chawa.
Nilitarajia kuna mtu atatoa jibu kama hili!! Waswahili tuna shida mahali!!Hoa Kunguni si wameletwa humo na Abiria?