System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

Lowassa anaonekana hana wasiwasi, nyinyi mna wasiwasi sana CCM, mara System, Mara sijui nini nini
 
Nakubaliana na mantiki yako ya lowassa kuleta upinzani kwa ccm just like Mrema na ninakubaliana na mantiki yako ya kwamba ccm imefunzwa adabu kwa tishio feki!

Lakini kuna issue ya Upinzani kuvurugika na kuanza upya kwa kuwa umewekeza kwa lowassa kama lowasa lakini haujaweza kumtumia lowasa kuchukua viti vingi vya ubunge...wabunge wa chadema wako hoi katika kampeni majimboni.

Wewe umesema! Ila hawa wandugu huwa hawaelewi kwa sababu nadhani huwa wanaamka na viroba na kulala na viroba.

Tutaendelea kumkumbuka lowasa kwa jambo moja tu; kufikisha ujumbe wa wananchi kwenye ccm kwamba wabadilike ama la sivyo confidence ya wananchi katika kuing'oa ccm inaendelea kukua na iko siku itang'olewa. Kwa hili tutamkumbuka na ccm yenyewe kweli imeupata ujumbe usiotia shaka.

Lakini wananchi bado hawajapata mpinzani sahihi wa kumpa nchi zaidi zaidi sakata hili limeibua mccm wa kizazi kipya ambaye ni mtu sahihi mwenye mawazo ya kimabadiliko na mwenye pumzi ya kuibadilisha ccm yenyewe naye ni JPM. Huyu hata hao ccm wanamkubali kwamba shughuli yake ni nzito!
 
Tulia dawa ikuingie vizuri wewe kada tarehe 25 dec jiandae utuvalie kanga moja na shanga kiunoni
 
Lawrance Masha alishatemwa kitambo!

Sumaye hakuwa na ubavu kwa merry Nagu

Kingunge aliwekwa pembeni!

Hujui lolote nyamaza,Mary Nagu inafahamika kawekwa hapo na Lowassa,Masha yule wa IMMA Advocate ni mtu wa Kikwete kupita Riz 1 na kwa taarifa yako hakutemwa ndio maana hadi anakosa Ubunge alikuwa ni Waziri wa Mambo ya Ndani.Ni mjinga tu atakaefikiri kuwa kuondoka kwa Kingunge kuna athari hasi kwa CCM!
 
Sasa si ufurahi kimya kimya ?unamweleza nani na kwa nia gani?mkubali msikubali CCM Tz haijapata Kuwa na upinzani wa kiwango hiki tangu uchaguzi wa vyama vingi.Hadi sasa CCM hawana uhakika wa kushinda Ndo maana wanatengeneza goli la mkono.Jiulize wanaogopa nini watu wakikaa Mita 200?Hata wakiponea chupu chupu ha watakuwa na Kiburi cha madaraka tena.Lowassa kawapa funzo hawatakaa wasahau.Mungu akisimamia upande wa haki hakuna binadamu wa kupinga.Viva Lowassa viva.

" Sasa si ufurahi kimya kimya ?unamweleza nani na kwa nia gani?"

Acha kuminya uhuru wa mawazo na kujieleza.
Ukiminya mwenzio na wewe tutaiminya post yako.
 
Hebu tulizeni akili mashabiki wa Lowassa na Ukawa!
Ukumbi huko Dodoma waliomwimbia Lowassa eti wana imani nae walikuwa wanaongozwa na Msukuma wa Geita ambaye leo anamtukana Mgombea wenu na kusema kajinyea. Wengine ni Chegeni, Serukamba, Bashe, Nkumba nk Hawa wote hawajahama na wapo bize wanampigia kampeni Magufuli na CCM na wengine wanamtukana Lowassa
Hivi kweli mna upeo mdogo wa kuelewa au mmejivua ufahamu?

Hao si ndio Magufuli anawalalamikia kuwa mchana wako CCM lakini usiku wako UKAWA?
 
Inaelekea unajua just a tip of an iceberg.
Wenzako wanahaha Lumumba kuweka mambo sawa lakini wameshindwa.
Aliekuambia amekujaza hewa.
Ukweli ni kwamba watu wa lowasa wapo wengi sana. Wamebaki CCM kimkakati.
Jiulize kwanini kikwete hajavunja baraza la mawaziri hadi leo?

Nafikiri pia unawajua wanachadema wanaompinga Lowassa kimya kimya.
Wanasubiri tu kumuadhibu (yeye binafsi) hapo Oct 25?
 
Ni ukweli usiopingika kuwa Lowassa ameanza harakati za kuusaka urais muda mrefu pengine toka 1995.

Mwaka 2005 akimsindikiza Kikwete, Lowassa alijiwekea mizizi au tuseme alitengeneza mtandao ambao ulimuingiza Kikwete madarakani na kumfanya yeye kuwa waziri mkuu.

Baada ya kutemwa uwaziri mkuu system ya Lowassa iliendelea kuwa madarakani kwa muda mfupi kabla ya Kikwete kuanza kuivuruga na kuisambaratisha kabisa.

Mpaka tunafika 2015 Kikwete alifanikiwa kabisa kuiondoa system ya Lowassa serikalini.

Nadhani alifanya hivi kwa maandalizi ya kumkata katika kinyang'anyiro cha uchaguzi ndani ya CCM pengine kwa maelekezo maalum


CHADEMA na Team Lowassa wamedanganyika na kile kilichoitwa nguvu ya waziri mkuu bila kujua ilishafutiliwa mbali.

Wengi wa wakurugenzi na wakuu wa taasisi ambao waliwekwa na Lowassa walishatemwa siku nyingi.

MaDC na MaRC loyal kwa Lowassa walishatemwa siku nyingi.

Kwa hiyo ile nguvu ya mamba baharini haipo kwani bahari ilishakaushwa.

Kwa sasa Lowassa amebakia na usanii tu kuaminisha watu kuwa ana mahusiano na system kumbe hamna kitu ni maigizo tu.

Hili laweza thibitishwa na kauli kinzani kutoka UKAWA. Mbowe anasema lindeni kura wakati Lowassa alisema pigeni kura na kazi ya kuzilinda aachiwe, hizi ni sentensi mbili kinzani kutoka katika taasisi moja.

Vijana wanapaswa kutambua Lowassa hana influence yoyote kwenye chama au serikali kwa sasa, makapi ya Lowassa yako nje na yanajaribu kurudi ndani ili kuweka mirija ya kula hela zetu tu.

Im so disappointed with CHADEMA baada ya kuuvaa mkenge huu wa kihuni ambao unaenda kuirudisha nyuma miaka 20.

Wafikirie waliohamia CHADEMA au UKAWA na uhusiano wao na CCM au serikali in the past 5 years ndio utanielewa.

Kwa sasa CHADEMA wajikite katika kampeni za ubunge zaidi ili kuokoa jahazi..operesheni ya siku nne...mission impossible!

Hadithi ya kusadika
 
Magufuli 55% lowasa 41% others 4%.MPs ccm 48% including nominated,opposition 52%. Ni naomba iwe hivyo na serikali itawajibika kwetu wananchi.

Serikali mseto nzuri kwa maslahi ya wananchi wananchi tuko pamoja Ng'adi
 
Nakubaliana na mantiki yako ya lowassa kuleta upinzani kwa ccm just like Mrema na ninakubaliana na mantiki yako ya kwamba ccm imefunzwa adabu kwa tishio feki!

Lakini kuna issue ya Upinzani kuvurugika na kuanza upya kwa kuwa umewekeza kwa lowassa kama lowasa lakini haujaweza kumtumia lowasa kuchukua viti vingi vya ubunge...wabunge wa chadema wako hoi katika kampeni majimboni.

Kweli kabisa wako hoi majimboni tunaona hata kwenye panga pangua ya watanzania kupitia Azam tv, wengine mpaka wanakimbia midahalo.
 
Ni ukweli usiopingika kuwa Lowassa ameanza harakati za kuusaka urais muda mrefu pengine toka 1995.

Mwaka 2005 akimsindikiza Kikwete, Lowassa alijiwekea mizizi au tuseme alitengeneza mtandao ambao ulimuingiza Kikwete madarakani na kumfanya yeye kuwa waziri mkuu.

Baada ya kutemwa uwaziri mkuu system ya Lowassa iliendelea kuwa madarakani kwa muda mfupi kabla ya Kikwete kuanza kuivuruga na kuisambaratisha kabisa.

Mpaka tunafika 2015 Kikwete alifanikiwa kabisa kuiondoa system ya Lowassa serikalini.

Nadhani alifanya hivi kwa maandalizi ya kumkata katika kinyang'anyiro cha uchaguzi ndani ya CCM pengine kwa maelekezo maalum


CHADEMA na Team Lowassa wamedanganyika na kile kilichoitwa nguvu ya waziri mkuu bila kujua ilishafutiliwa mbali.

Wengi wa wakurugenzi na wakuu wa taasisi ambao waliwekwa na Lowassa walishatemwa siku nyingi.

MaDC na MaRC loyal kwa Lowassa walishatemwa siku nyingi.

Kwa hiyo ile nguvu ya mamba baharini haipo kwani bahari ilishakaushwa.

Kwa sasa Lowassa amebakia na usanii tu kuaminisha watu kuwa ana mahusiano na system kumbe hamna kitu ni maigizo tu.

Hili laweza thibitishwa na kauli kinzani kutoka UKAWA. Mbowe anasema lindeni kura wakati Lowassa alisema pigeni kura na kazi ya kuzilinda aachiwe, hizi ni sentensi mbili kinzani kutoka katika taasisi moja.

Vijana wanapaswa kutambua Lowassa hana influence yoyote kwenye chama au serikali kwa sasa, makapi ya Lowassa yako nje na yanajaribu kurudi ndani ili kuweka mirija ya kula hela zetu tu.

Im so disappointed with CHADEMA baada ya kuuvaa mkenge huu wa kihuni ambao unaenda kuirudisha nyuma miaka 20.

Wafikirie waliohamia CHADEMA au UKAWA na uhusiano wao na CCM au serikali in the past 5 years ndio utanielewa.

Kwa sasa CHADEMA wajikite katika kampeni za ubunge zaidi ili kuokoa jahazi..operesheni ya siku nne...mission impossible!

We pumba vu kweli,,sasa Chadema inakuhusu nn kama wao wamevaa mkenge,? halafu tatizo msilolijua ni moja,kuanguka kwa ccm ni maandiko,kwahiyo haya yote yanayotokea mnajidanganya kipumbavu tu
 
We pumba vu kweli,,sasa Chadema inakuhusu nn kama wao wamevaa mkenge,? halafu tatizo msilolijua ni moja,kuanguka kwa ccm ni maandiko,kwahiyo haya yote yanayotokea mnajidanganya kipumbavu tu

Hivi mlivyokuwa bize mnafuatilia uteuzi ndani ya CCM ilikuwa inawahusu nini? Hebu acha arguments zisizo na mantiki mkuu na ujikite katika hoja! Ujue mnaenda kushindwa vibaya na mtaparanganyika!
 
Back
Top Bottom