System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

I'm curious. Nini hasa kilichofanya Kikwete aamue kuvunja mtandao "uliojengwa na Lowassa" ambao ndio uliomuingiza yeye madarakani? Tuseme alikwishapiga hesabu zake mapema akiwa na lengo la "kummaliza Lowassa" mara tu baada ya kufanikiwa kuwa rais kwa msaada wa mtu huyohuyo aliyemuaminisha kuwa na urafiki naye? Kwamba baada ya hapo Lowassa hatakuwa na manufaa tena kwake? Inawezekana kuwa JK ni muumini wa falsafa za Niccolo Machiavelli za kutumia watu kufanikisha malengo/maslahi binafsi kisha kuwatupilia mbali - hata kuwaangamiza? Kwamba kwake suala la urafiki, uswahiba na hisia za aina hiyo hazina nafasi katika utu wake? Ndio maana anaweza kudumisha tabasamu na bashasha mbele ya umma hata kama behind the scenes anaagiza watu wanaotishia maslahi yake, ya familia yake na ya utawala wake kufanyiwa maovu?

Mleta mada umefurahia Kikwete "kuuvunja" mtandao wa Lowassa. Ingekuwa vyema basi pia ungetoa ufafanuzi ni kwa malengo gani na kwa maslahi ya nani? Ni sisi Watanzania ndio wanufaika au ni mchezo wa kuzidiana kete (battle of wits) kati ya wanamtandao - tena mmoja akiwa ndiye mjuzi (JK) na mwingine akitumika kama zoba (EL)? Majuzi mzee Butiku alilalamika kuwa CCM na serikali yake vimeharibiwa na hao "wanamtandao". Naona ukweli unadhihirika kwenye mada kama hii. Sawa. Inawezekana, katika mchezo wa wanamtandao, Lowassa keshamalizwa nguvu na JK na hivyo CHADEMA imeingia mkenge na kupoteza. Hii ina mana gani kwetu wananchi? Tukubali kuendelea kuwekwa poni na magwiji wa mtandao?

Ninachokiona ni mchezo uleule ukiendelezwa na JK kupitia Magufuli. Naye anatumiwa kama kete tu ya kukirudisha madarakani chama ambacho sasa kinadhibitiwa kikamilifu na upande wa JK kwa falsafa ileile ya Machiavelli. Inawezekana hata teuzi nyingi zilizofanywa muda mrefu na karibuni ni sehemu (game plan) ya mchezo huo. Na si Magufuli tu. Marehemu Mtikila, Dk Slaa, mama Maria, mzee Mwinyi, n.k. nao wameshawekezwa kwenye mkakati huo. Hivyo, kati yao wote hakuna aliyekuwa na au mwenye ubavu wa kuleta mabadiliko ya maana katika mfumo na uendeshaji wa chama na serikali.

Kwangu mimi, hii ni sababu tosha ya kuiondoa CCM madarakani ili kuinusuru nchi kuwekwa rehani na watu wenye maslahi binafsi pekee, wasio na chembe ya uzalendo wala utu. Ni bora kuanza kwa kuvunja "spell" ya "CCM mtandao" - hata kwa kumtumia aliyekuwa mmoja wao ambaye wamemzidi kete na kumfanya zoba na ambaye, naamini, anaweza kudhibitiwa kirahisi zaidi ndani ya mabadiliko. Hii itafanya, kwanza, CCM yenyewe ijisafishe kwa dhati na, pili, watakaokuwa madarakani watambue kuwa umma umeshachukua mamlaka yake ya kudhibiti watawala bila hofu kwa kutumia mfumo wa demokrasia ya vyama vingi. Hatuwezi kuacha taifa liendelee kuendeshwa kwa falsafa za Machiavelli.

Nimejitahidi kusoma uzi wako huu, nilichogundua ulikuwa unajenga hoja ya kijinga tu, huwezi kusema unaiondoa ccm alafu iwaeje? Kuwa makini sana, tumeona kilichofanyika chadema na ukawa kwa ujumla, ajenda yao ya rushwa na ufisadi imetupwa mbali kwa kuwa wamemchukua Lowasa, ni ujinga kuruka mkojo na kukanyaga mavi.

Kwanza nataka kukueleza ukawa waupe kwelikweli na si watu wa kupewa nchi hii, kwani wamejichanganya wao wenyewe, na hizi ndo sababu chache tu za msingi kabisa-
1: chadema hawawezi kuongoza nchi hii, nakumba Mbowe alisema kwenye mkutano mkuu wa chadema kuwa wao hawana uzoefu wa kuiongoza serikali kwa hali hiyo ndo maana wanataka vigogo kutoka ccm ili wawasaidie kuongoza serikali, huyo ni mwenyekiti anatamka maneno haya akiwa LIVE-ITV

2.Mbowe alisema kuwa ni ujinga kuacha mtu ambaye ana mtaji wa watu wengi, tena hawezi kufanya ujinga huo, maana yake alikuwa tayari kuchukua mafisadi ili afanye nao kazi na ndicho kilichofanyika kwa ss

3. Ajenda yao ya rushwa na ufisadi imewekwa kapuni na sasa ajenda hiyo ipo ccm, na rushwa na ufisadi ndo umefanya nchi yetu kudumaa kimaendeleo, sasa kusema tu kwamba ccm iondoke si hoja bali ni ujinga fulani ambao unajengwa na wapinzani baada ya kuchukua mafisadi

4.Namna walivompata Lowasa na katiba yao haviendani.

Swali langu kwa mtoa mada huu uzi wako wakati unauandika ulikuwa umeshapewa viroba? kwani nilidhani umekuja na mbadala wa nn kifanyike, kumbe mawazo yako ni kuturudisha kwenye mtandao wenu sio, safari hii tunahitaji kiongozi ambaye hatokani na mtandao, ambaye kimsingi ni Dr.JP Makufuli. Hizo swaga zingine zimepitwa na wakati.
 
Nimejitahidi kusoma uzi wako huu, nilichogundua ulikuwa unajenga hoja ya kijinga tu, huwezi kusema unaiondoa ccm alafu iwaeje? Kuwa makini sana, tumeona kilichofanyika chadema na ukawa kwa ujumla, ajenda yao ya rushwa na ufisadi imetupwa mbali kwa kuwa wamemchukua Lowasa, ni ujinga kuruka mkojo na kukanyaga mavi.

Kwanza nataka kukueleza ukawa waupe kwelikweli na si watu wa kupewa nchi hii, kwani wamejichanganya wao wenyewe, na hizi ndo sababu chache tu za msingi kabisa-
1: chadema hawawezi kuongoza nchi hii, nakumba Mbowe alisema kwenye mkutano mkuu wa chadema kuwa wao hawana uzoefu wa kuiongoza serikali kwa hali hiyo ndo maana wanataka vigogo kutoka ccm ili wawasaidie kuongoza serikali, huyo ni mwenyekiti anatamka maneno haya akiwa LIVE-ITV

2.Mbowe alisema kuwa ni ujinga kuacha mtu ambaye ana mtaji wa watu wengi, tena hawezi kufanya ujinga huo, maana yake alikuwa tayari kuchukua mafisadi ili afanye nao kazi na ndicho kilichofanyika kwa ss

3. Ajenda yao ya rushwa na ufisadi imewekwa kapuni na sasa ajenda hiyo ipo ccm, na rushwa na ufisadi ndo umefanya nchi yetu kudumaa kimaendeleo, sasa kusema tu kwamba ccm iondoke si hoja bali ni ujinga fulani ambao unajengwa na wapinzani baada ya kuchukua mafisadi

4.Namna walivompata Lowasa na katiba yao haviendani.

Swali langu kwa mtoa mada huu uzi wako wakati unauandika ulikuwa umeshapewa viroba? kwani nilidhani umekuja na mbadala wa nn kifanyike, kumbe mawazo yako ni kuturudisha kwenye mtandao wenu sio, safari hii tunahitaji kiongozi ambaye hatokani na mtandao, ambaye kimsingi ni Dr.JP Makufuli. Hizo swaga zingine zimepitwa na wakati.

Try not to peek outside the confines of your class for your own health.
 
Nyerere hakuwa BEPARI CHAFU kama MBOWE na LOWASSA.TANU haikuwa kama Chadema.Ukoloni haukuondolewa madarakani kwa FUJO,VURU,ZOMEAZOMEA NA MAANDAMANO BALI Nguvu ya HOJA.Chadema ni mojawapo ya chama cha ki-BOGUS Kuwahi kutokea Tanzania kikiwaweka pamoja vijana wala ngada,viroba na bange

kumbe huijui CHADEMA lakini pia hukijui hicho chama unachokishabikia vyema isipokuwa umejaa ushabiki. Angalia kati ya vijana wengi wanaovalishwa tshirts na kofia ili kuishabikia CCM wana sifa zipi
 
Salties wanaishi kwenye estuaries na sio baharini.
Saltwater Crocodile
Crocodylus porosus

The largest crocodilians on Earth, saltwater crocs, or "salties," are excellent swimmers and have often been spotted far out at sea.

Photograph by Sam Abell


Earth?s largest living crocodilian?and, some say, the animal most likely to eat a human?is the saltwater or estuarine crocodile. Average-size males reach 17 feet (5 meters) and 1,000 pounds (450 kilograms), but specimens 23 feet (7 meters) long and weighing 2,200 pounds (1,000 kilograms) are not uncommon.

Saltwater crocs, or "salties," as Australians affectionately refer to them, have an enormous range, populating the brackish and freshwater regions of eastern India, Southeast Asia, and northern Australia. They are excellent swimmers and have often been spotted far out at sea.

Classic opportunistic predators, they lurk patiently beneath the surface near the water's edge, waiting for potential prey to stop for a sip of water. They?ll feed on anything they can get their jaws on, including water buffalo, monkeys, wild boar, and even sharks. Without warning, they explode from the water with a thrash of their powerful tails, grasp their victim, and drag it back in, holding it under until the animal drowns.

Population estimates range from 200,000 to 300,000 worldwide, and they are considered at low risk for extinction. But saltwater croc hides are valued above all other crocodilians, and illegal hunting, habitat loss, and antipathy toward the species because of its reputation as a man-eater continue to put pressure on the population.

Hapo vipi Mkuu?
 
Mfyuuuuuuuuu


Ni ukweli usiopingika kuwa Lowassa ameanza harakati za kuusaka urais muda mrefu pengine toka 1995.

Mwaka 2005 akimsindikiza Kikwete, Lowassa alijiwekea mizizi au tuseme alitengeneza mtandao ambao ulimuingiza Kikwete madarakani na kumfanya yeye kuwa waziri mkuu.

Baada ya kutemwa uwaziri mkuu system ya Lowassa iliendelea kuwa madarakani kwa muda mfupi kabla ya Kikwete kuanza kuivuruga na kuisambaratisha kabisa.

Mpaka tunafika 2015 Kikwete alifanikiwa kabisa kuiondoa system ya Lowassa serikalini.

Nadhani alifanya hivi kwa maandalizi ya kumkata katika kinyang'anyiro cha uchaguzi ndani ya CCM pengine kwa maelekezo maalum


CHADEMA na Team Lowassa wamedanganyika na kile kilichoitwa nguvu ya waziri mkuu bila kujua ilishafutiliwa mbali.

Wengi wa wakurugenzi na wakuu wa taasisi ambao waliwekwa na Lowassa walishatemwa siku nyingi.

MaDC na MaRC loyal kwa Lowassa walishatemwa siku nyingi.

Kwa hiyo ile nguvu ya mamba baharini haipo kwani bahari ilishakaushwa.

Kwa sasa Lowassa amebakia na usanii tu kuaminisha watu kuwa ana mahusiano na system kumbe hamna kitu ni maigizo tu.

Hili laweza thibitishwa na kauli kinzani kutoka UKAWA. Mbowe anasema lindeni kura wakati Lowassa alisema pigeni kura na kazi ya kuzilinda aachiwe, hizi ni sentensi mbili kinzani kutoka katika taasisi moja.

Vijana wanapaswa kutambua Lowassa hana influence yoyote kwenye chama au serikali kwa sasa, makapi ya Lowassa yako nje na yanajaribu kurudi ndani ili kuweka mirija ya kula hela zetu tu.

Im so disappointed with CHADEMA baada ya kuuvaa mkenge huu wa kihuni ambao unaenda kuirudisha nyuma miaka 20.

Wafikirie waliohamia CHADEMA au UKAWA na uhusiano wao na CCM au serikali in the past 5 years ndio utanielewa.

Kwa sasa CHADEMA wajikite katika kampeni za ubunge zaidi ili kuokoa jahazi..operesheni ya siku nne...mission impossible!
 
Ndio mana lowassa aliyejitapa kuwa watu wapige kura na wasiwe na wasiwasi wa kuibiwa kabadilika ghafla na kuwa mlalamikaji.
 
Mwanangu emenena Lowasa kwisha na kaka yake Sumaye na yeye lala salama. Mbowe kavuta sasa amebaki anapiga longo longo eti kura zimeibiwa. Mfa maji haachi kutapa hawajui kuwa watanzania sio wajinga wasingeweza kumchagua fisadi kuongoza nchi.
 
Back
Top Bottom