Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,388
mkuu HD haioni kwa sasa kuhusu kuzima haizimi kunasiku jioni inasumbua baadhi ya chanel
Basi hii back up nzuri
Lkn hiyo ya "kuna siku channel zinasumbua" we unaiona je?
Ni shida kubwa kwamba ni kila jmosi-ijumaa?
Je hizo channel ni zipi za muhimu zinasumbua sana sana za movie na sports?