systeam mpya ya kuangalia dst..

systeam mpya ya kuangalia dst..

Adolph; zote zipo down nw...huu mwezi majangaaa hadi hiyo mkuu haipo hewani?
 
Dongo zote down till further notice... Wenye mali yao washafanya yao so ni muda wa kuenda kurenew kadi Zetu vibanda umiza na bar....
 
google hii kitu zorro z3 mali mpya hiyo, wapi rich wamavoko?

Hiyo kitu ni mpya kweli lkn Kamuni ni kongwe i.e kampuni iliyotengeneza A plus(A+) Dongle ndo wamiliki wa zorrobox Z3

Ktk ZorroBox Z3 wanatumia acc ya SKCAM...Hii Box imefanana copyright na Q13G isiokua RS 232 yake na acc yake tu
Vinginevyo interface wamecopy kwa qsat na Xmaster

Wanaosema Dongle boxes ziko OFF naweza sema sio kweli labda kugenerize kuwa zile za wachina ndo majanga
Lkn wale wanaotumia CCCAM server za europe ziko hewani

Nakuonesha zilivo na Nguvu mpaka Zile HD channels e.g SS3HD ziko hewani kwa CCCam
tatizo la CCCam bei yake majanga
Kuna moja inauzwa grupu fulani la FB la mambo ya IKS Dongles bei yake 80$ waloitumia wamethibitisha kwa picha kua zinafungu mpaka HD

nahisi tuwe wa pole wale wenye Decoder za makaburu nazo nasikia ni majanga kwao zimezima
Kwa sasa bora tuelekeze madish yetu AMOS 5 17A @17' E tuwafata TING walau tuangalie local na baadhi ya channel za FTA
 
Hiyo kitu ni mpya kweli lkn Kamuni ni kongwe i.e kampuni iliyotengeneza A plus(A+) Dongle ndo wamiliki wa zorrobox Z3

Ktk ZorroBox Z3 wanatumia acc ya SKCAM...Hii Box imefanana copyright na Q13G isiokua RS 232 yake na acc yake tu
Vinginevyo interface wamecopy kwa qsat na Xmaster

Wanaosema Dongle boxes ziko OFF naweza sema sio kweli labda kugenerize kuwa zile za wachina ndo majanga
Lkn wale wanaotumia CCCAM server za europe ziko hewani

Nakuonesha zilivo na Nguvu mpaka Zile HD channels e.g SS3HD ziko hewani kwa CCCam
tatizo la CCCam bei yake majanga
Kuna moja inauzwa grupu fulani la FB la mambo ya IKS Dongles bei yake 80$ waloitumia wamethibitisha kwa picha kua zinafungu mpaka HD

nahisi tuwe wa pole wale wenye Decoder za makaburu nazo nasikia ni majanga kwao zimezima
Kwa sasa bora tuelekeze madish yetu AMOS 5 17A @17' E tuwafata TING walau tuangalie local na baadhi ya channel za FTA



mkuu mi natumia X Man G8 CCCam ya mchina inashusha mzigo kwafujo. G1,G2,G6 zimebuma
 
azsky zimebuma..qsat ipo hewani ila inasumbua wakati wa live games....cccam bado zinafanya kazi ila bei yake kubwa almost kilo moja.......atleast qsat users tunapata channel zote muhimu ila muda wa mechi ndo kiroho juu
 
azsky zimebuma..qsat ipo hewani ila inasumbua wakati wa live games....cccam bado zinafanya kazi ila bei yake kubwa almost kilo moja.......atleast qsat users tunapata channel zote muhimu ila muda wa mechi ndo kiroho juu
Hio kilo moja ni bei ya kununulia hicho kifaa cha cccam au ni ya kunilipia huduma? Je hio qsat inapatikana kwa bei gani mkuu?
 
Kwa QSAT Mr.madevu inakuja na AvartacamHD ya mwaka mzima kutumia bure...lkn kwa sasa hiyo acc haiko stable kwa sasa kuna mda inazimwa hivo option iliyo stable ndo kama hauwez kuvumilia unanunua Cccam acc ili uwe na acc mbili ktk box moja...

NB kuna QSAT zinauzwa na acc ya Cccam mwaka mzima hata mdau mmoja kabainisha japo yake ni Xman G8...

Kwa maswali ya nyongeza ili thread isifutwe njoo PM
Nasema hivo maana thread yoyote ambayo huwa inataja hayo mambo hadharini ufungwa na mods
 
Last edited by a moderator:
Natumia Azsky G6 tangu last week kitu hakionyeshi aisee yani balaa tupu na account ni ya mwaka...xoxoxo ni kingamuzi kipi kinaonyesha dstv kwa sasa?
 
  • Fuata ushauri huu wa njunwa
Kwa maswali ya nyongeza ili thread isifutwe njoo PM
Nasema hivo maana thread yoyote ambayo huwa inataja hayo mambo hadharini ufungwa na mods
  • Au mpigie simu njunwa, m2n au munji1
Natumia Azsky G6 tangu last week kitu hakionyeshi aisee yani balaa tupu na account ni ya mwaka...xoxoxo ni kingamuzi kipi kinaonyesha dstv kwa sasa?
 
Natumia Azsky G6 tangu last week kitu hakionyeshi aisee yani balaa tupu na account ni ya mwaka...xoxoxo ni kingamuzi kipi kinaonyesha dstv kwa sasa?

Angalia AZSKY hawana acc ya mwaka aliyekuuzia akakwambia hivo alikua na yake...
Kwa sasa angali SS3,SS5 na SS7
 
Angalia AZSKY hawana acc ya mwaka aliyekuuzia akakwambia hivo alikua na yake...
Kwa sasa angali SS3,SS5 na SS7

asante kwa taarifa mkuu.ila kwangu naona zinasumbua sana hizo chanel yaani zinakatakata sana napia inaonyesha moja moja.ni kwangu au kwa wote?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom