Mkuu ni kweli kuna exaggerations to some extent, lakini bado ni kweli wanakufa sana raia wasiokuwa na hatia mkuu.OK, nani ameua hawa 7500? Kule libya walisema 6000 na walivyoingia idadi ya waliouawa na wanaoendelea kuuawa inajulikana? 10? 100? au 50,000? Hawataacha visingizio, uzushi na propaganda ili kufikia leongo lao.
Ona wanavyo-stage reports zao. Gonga link âSyria Dannyâ Caught Staging CNN War Propaganda Stunt | CounterPsyOps
Mkuu jmushi1.Mkuu ni kweli kuna exaggerations to some extent, lakini bado ni kweli wanakufa sana raia wasiokuwa na hatia mkuu.
Cha kusikitisha zaidi ni kuwa tuna Waislamu wanaonunua hizi propaganda rahisi za huyu mouvu Alawite Shia Bashar na masterz wake wa Kiirani!A senior Iranian diplomat blasted the western countries, specially the US, for their double-standard attitude towards terrorism, and said the Syrian people and security forces are being killed by the al-Qaeda-affiliated terrorists who are armed with the US and Israeli weapons.
The West does not speak about the ties between the terrorist groups in Syria and the al-Qaeda which slaughters the people with US and Israeli weapons in that country, Iranian Ambassador to Uruguay Hojjatollah Soltani said on Monday.
Zaidi hapa Iranian Envoy: Syrian Terrorists Killing People with US, Israeli Weapons | CounterPsyOps
Cha kusikitisha zaidi ni kuwa tuna Waislamu wanaonunua hizi propaganda rahisi za huyu mouvu Alawite Shia Bashar na masterz wake wa Kiirani!
To defend Syria is to defend Palestine – An interview with Azzaam Abdal-Hakim
To defend Syria is to defend Palestine
Kazi tunayo!
Bado sijakuelewa Mkuu, tafadhali fafanua zaidi!Kabla ya Kofi A. kutia mguu Syria, Serikali ya Syria ilikuwa imedhibiti vilivyo hao wasyria walioongwa na Ulaya magharibi na US. Lakini baada ya kutia mguu sasa hivi milipuko inaweza kutokea hata ndani ya Damascas. Nadhani mwaweza kuelewa nilichokuwa nakisema hapo awali.....>>>>PressTV - Syria blames foreign-backed Takfiri terrorists for explosions
Ni kuwa Kofi nahisi atakuwa ametumiwa kuingiza 'agents' nchini Syria ambao wanasaidia ku'locate' coordinates za kushambulia. kama alivyofanya wakati wa vita ya Ghuba.Bado sijakuelewa Mkuu, tafadhali fafanua zaidi!
Unahisi ametumiwa na nani?Ni kuwa Kofi nahisi atakuwa ametumiwa kuingiza 'agents' nchini Syria ambao wanasaidia ku'locate' coordinates za kushambulia. kama alivyofanya wakati wa vita ya Ghuba.
Na wale ambao hawataki kuona serikali( ikiwamo Syria) zinazosimamia rasilimali zake za asili kunufaisha raia wake zikistawi, huku wakitumia vibaya vifungu vya makubaliano ya kimataifa. Tupo pamoja Askari kanzu?Unahisi ametumiwa na nani?
Tuko pamoja. Mkuu hebu wataje hao basi!Na wale ambao hawataki kuona serikali( ikiwamo Syria) zinazosimamia rasilimali zake za asili kunufaisha raia wake zikistawi, huku wakitumia vibaya vifungu vya makubaliano ya kimataifa. Tupo pamoja Askari kanzu?
Tuko pamoja. Mkuu hebu wataje hao basi!