Mtoa post hajitambui bwana muacheni kasahau ziwa Nyasa Lipo mbeya na lina beach nyingi hadi banda wa Malawi alizitamani anazitaka ziwe zake. Alafu msameheni amesahau kuwa huku kwetu hatutumiagi swimming pool kama huko kwao sisi huku tuna natural water bodies nyingi za kuogelea, au hajui kuwa uwepo wa swimming pools nyingi mahali ni uthibitisho tosha kuwa mnaigiza kama mpo ziwani au baharini au mtoni? Huku hazipo nyingi kama huko kwenu maana nyie washamba wa ziwa na bahari
Leo wanyakyusa wamepatikana
Wamevimba kama majogoo ya
Sikukuu kuweni wapole tu jamani
Wasukuma huwa wanataniwa humu mpaka basi lakini huwezi
Kuona wanatukana lakini nyie
Ufunguo ndiyo kwanza umechomekwa vipi akitekenya
Kuwasha si mtakufa kwa ghadhabu?
Bwana mdogo kabla hujapost chochote jaribu kufanya tathmni ili usionekane mjinga.
Hyo maada ungezungumzia mikoa kama tabora Dodoma n.k
Unapozungumzia mbeya ujue unazungumzia mkoa ambao ni tegemeo la taifa kwa kila kitu..
Kwa machache tu nakumegea kipande hiki
Hzo picha zimechukuliwa mbeya . sehem moja inaitwa matema beach tena kijijin bado nakujia na za mjini