The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Si useme tu ukweli kwamba mambo uliyonipa hujawahi kumpa mwanamke mwingine
Maty nashukuru kwa kunitaka niseme hadharani
Si useme tu ukweli kwamba mambo uliyonipa hujawahi kumpa mwanamke mwingine
Maty nashukuru kwa kunitaka niseme hadharani
We kweli ni the finest na unajua kufinalize mambo nimekunyooshea mikono
Ngoja :A S 100::A S 100::A S 100: Eliza nimwambie akuletee VALUER+PEPSI+SAFARI WOTA kusudi usukumie na lunch mchana huu ikibaki utamalizia jioni kaunta pale ZERO PUB
wansema to love is only once, kwamba ni mmoja tu utakaye mpenda kwa dhati na wengine ni mazoea na uzushi tu. na true love ni kusamehe kuforget, yaani no matter anakutendea mabaya utampenda tu.
'nahisi kama sipendi na wakati mwingine nipo tu' mmmhh zat is dengaras kabisa kabisa Chauro! You know what hakuna kitu kibaya kama kuishi kinafiki maana si tu kwamba unajiumiza nafsi yako lakini unknowingly hata mwenzio unamuumiza. Binadamu tuko intuitive sana,pamoja na kwamba uliyenaye kwa sasa hakuambii believe me anahisi kitu hasa kama unajilazimisha mambo flan flan.Ushauri wa bure ,come out clean,mwombe mtengane kwa muda ili wewe ujipe nafasi ya kutafakari kwa kina na kujua nini hasa unataka,na ukweli ni kwamba kama destiny yako ni kuwa na huyu wa sasa utamkuta tu na kama hatakuwepo basi hakuwa wa kwako.Best wishes!nimekupata rose sio kwamba huyu hajui anaweza na anajali sana tu na najitahidi kweli hata kupiga simu na msg kama hatuko wote lakini bado tu huyu tuliyeachana anakuja kwenye kichwa changu nachanganyikiwa sana sitaki kumuumiza huyu maana usiyotaka ufanyiwe usimfanyie mwezako halafu nahisi kama sipendi tena wakati mwingine nipo tu