bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,883
mie jamani nipo njia panda nachoka kabisa na haya mambo, ni jana tu licmu la mr linaita hapo, alikuwa katoka kidogo, ckuipokea, amerudi huko ameaanza ooh aahh kwanini ckupokea nikamwambia amcal kwenye cm nyingine aliyetoka nayo?...jina lenyewe "mzee j" mie nipo huyo ndio kadadaa hapo nipoke nianze headache saa hizi...nilitulia kama siickii vile, nadhani tu mtu umwachie cm yake afanye atakayo, lakini za mwizi 40...
si bora hata huyo ameandikwa 'mzee j' hata kama ni kiblandina chake.....imagine kama yule shostito wako mumewe alisave sijui 'honey'.....hapo si ndo wafwa kabla hata hiujauliza??