Swali

Swali

Simu ni kama cheti cha kuzaliwa, hakichangiwi;
Simu ni kama kadi ya kupigia kura, haichangiwi;
Simu ni kama kitambulisho cha uraia, hakichangiwi;
Simu ni kama alama za dole gumba, hazifanani na za mtu yeyote hata awe pacha wako!!.....!!!!

Dah hapa mkuu tupo pamoja.
Mi nimewahi mpiga chini mchumba hivi hivi kwa kupekua pekua simu yangu tuna week tu akaanza kuleta za kuleta kwenye simu yangu eti ooh nahaki kuimiliki nikamwambia chako chako changu changu hutaki tembea.
 
Mvulie DC kofia, babu yako nivalie.
Mheshimu DC, babu yako unipende.
Mi na wewe ni kitu kimoja. Nipigieeeeeeeee!

Iribini kuimba si saaa ya mapumiko banaaaaaaa mbona mmeanza saa hii mapema
atakupigia darlin....................
 
Mwili wa mtu ni personal property, tena zawadi kutoka kwa Mungu, unachangiwa! Vipi hapo? Kipi ni muhimu kati ya hayo?

Mkuu DC, nadhani hapo inategemea na mkuktadha.....kama ingekuwa private property ki hivyo, isingekuwa mtu anashtakiwa akijaribu kujiua....lakini kwa sheria zetu kujaribu kunywa sumu/kujinyonga ukaponyoka una kesi ya kujibu. why?

jingine ni kuwa kuchangia huko kwa mwili katika muktadha wa wapenzi/wanandoa ni wakati ule wa conjugal action, otherwise baada ya hapo kila mtu si anabaki na kidude chake😀 of course the abstract meaning ni kwamba wote mmekuwa mwili mmoja, lakini hata katika maana hiyo tunamaanisha mwili mmoja kiroho zaidi na sio the phyisical body kwa maoni yangu.

Kwenye hoja ya Masaki hapo juu, nadhani yeye yupo kwenye huu ulimwengu phyisical,,na niongezee labda passport pia haichangiwi ila pia vyote hivyo inategemea na jinsi mlivyojizoeza tangu mwanzoni..napata ugumu kuapply a rule of thumb hapa as kila case ina namna yake na ni tofauti on its own right.
 
Dah hapa mkuu tupo pamoja.
Mi nimewahi mpiga chini mchumba hivi hivi kwa kupekua pekua simu yangu tuna week tu akaanza kuleta za kuleta kwenye simu yangu eti ooh nahaki kuimiliki nikamwambia chako chako changu changu hutaki tembea.
Bora umemnusuru maana angetuletea threads hapa hadi tuchoke!!
 
Dah hapa mkuu tupo pamoja.
Mi nimewahi mpiga chini mchumba hivi hivi kwa kupekua pekua simu yangu tuna week tu akaanza kuleta za kuleta kwenye simu yangu eti ooh nahaki kuimiliki nikamwambia chako chako changu changu hutaki tembea.

hahaaaaaaaaa just like that???
uchumba gani huo....punguza speed Fidel
 
Mkuu DC, nadhani hapo inategemea na mkuktadha.....kama ingekuwa private property ki hivyo, isingekuwa mtu anashtakiwa akijaribu kujiua....lakini kwa sheria zetu kujaribu kunywa sumu/kujinyonga ukaponyoka una kesi ya kujibu. why?

jingine ni kuwa kuchangia huko kwa mwili katika muktadha wa wapenzi/wanandoa ni wakati ule wa conjugal action, otherwise baada ya hapo kila mtu si anabaki na kidude chake😀 of course the abstract meaning ni kwamba wote mmekuwa mwili mmoja, lakini hata katika maana hiyo tunamaanisha mwili mmoja kiroho zaidi na sio the phyisical body kwa maoni yangu.

Kwenye hoja ya Masaki hapo juu, nadhani yeye yupo kwenye huu ulimwengu phyisical,,na niongezee labda passport pia haichangiwi ila pia vyote hivyo inategemea na jinsi mlivyojizoeza tangu mwanzoni..napata ugumu kuapply a rule of thumb hapa as kila case ina namna yake na ni tofauti on its own right.
Tunakubaliana kabisa Kaizer but why za wake zenu mwazifanya zenu?
 
Bora umemnusuru maana angetuletea threads hapa hadi tuchoke!!

Hahahaha unajua watu bana tunaishi kimkakati zaidi lazima mtu ajue A,B,C zako sio aje apate shida mtoto wa watu akiwa ndani ya hausi ni vyema ukamweleza mapema simu yangu hugusi bila ridhaa yangu ukigusa mtafaruko.
 
haa! mi ya my wife wangu hata kuitumia sijui!

huo utaratibu mlikuwa nao tangu mwanzo ndio maana hakuna tatizo its just normal.

sasa kwa case hii hapa mezani siku zoooooooooote simu ilikuwa inalala iko on
all of a sudden unakuja na sababu zako za kitoto eti zinaisha charge.......aaaaaaaaaah c'm on B tutaelezana kirefu na nakwambia ntakulia taiming nione unaficha nini kama si uvundo huo!!!
 
Mbio za sakafuni huishia ukingoni.
Vp shem hajambo lakini?

Afu wewe huko kumjali shemeji yako mbona too much sasa!!! yaani hunijulii hali mimi kila siku hajambo shemeji
ni nini lakini Fide???
 
Afu wewe huko kumjali shemeji yako mbona too much sasa!!! yaani hunijulii hali mimi kila siku hajambo shemeji
ni nini lakini Fide???

Lazima nimjali kidume cha mbegu kama mm si anakudumishia mila vizuri lakini.
 
nanai kasema anadumisha mila nawe???

Mwenye dada hakosi shemeji na mwenye kaka hakosi wifi.
Bht hivi unalijua hilo?
Hapo utake usitake lazima mila idumishwe vinginevyo mpige chini jiendee usista.
 
Mwenye dada hakosi shemeji na mwenye kaka hakosi wifi.
Bht hivi unalijua hilo?
Hapo utake usitake lazima mila idumishwe vinginevyo mpige chini jiendee usista.

hahaaaaa lol mbona usista tena!!! afu kule ndo raha bin starehe maana wala huna waiwasi kama kwenye ulei mara uhisi unaibiwa......
 
Mwenye dada hakosi shemeji na mwenye kaka hakosi wifi.
Bht hivi unalijua hilo?
Hapo utake usitake lazima mila idumishwe vinginevyo mpige chini jiendee usista.

Ndio hapo sasas ! Huwa nashangaa kukuta kaka ana wivu balaa kwa dada yake! 🙂
 
mie jamani nipo njia panda nachoka kabisa na haya mambo, ni jana tu licmu la mr linaita hapo, alikuwa katoka kidogo, ckuipokea, amerudi huko ameaanza ooh aahh kwanini ckupokea nikamwambia amcal kwenye cm nyingine aliyetoka nayo?...jina lenyewe "mzee j" mie nipo huyo ndio kadadaa hapo nipoke nianze headache saa hizi...nilitulia kama siickii vile, nadhani tu mtu umwachie cm yake afanye atakayo, lakini za mwizi 40...
 
Ndio hapo sasas ! Huwa nashangaa kukuta kaka ana wivu balaa kwa dada yake! 🙂

mmh wivu kwa dadake tena au anakuwa tu na concern bwana hataki dadake aumizwe......akiona unatoka na limtu halieleweki lazima achimbe 'biti'
 
mie jamani nipo njia panda nachoka kabisa na haya mambo, ni jana tu licmu la mr linaita hapo, alikuwa katoka kidogo, ckuipokea, amerudi huko ameaanza ooh aahh kwanini ckupokea nikamwambia amcal kwenye cm nyingine aliyetoka nayo?...jina lenyewe "mzee j" mie nipo huyo ndio kadadaa hapo nipoke nianze headache saa hizi...nilitulia kama siickii vile, nadhani tu mtu umwachie cm yake afanye atakayo, lakini za mwizi 40...
justified!
 
Back
Top Bottom