Swali

Swali

ndio mana nina sheria ya kuharibu...naharibu mazima!...mkaka sasa hivi yupo lonely haswaa, mdada ndio kashaingia barabarani kwa speed 180, na alivyo mrembo mr anakula kwa macho tu, c aaliyataka mwenyewe? mdada hataki kuckia kitu kinaitwa "kurudiana"...ngoja tumpe muda labda atachange mind.

Nyamayao naona rafiki zako wengi wanamisukosuko ya mapenzi naona machaguo yao hayakuwa sahihi aidha waliingia kichwa kichwa ndo maana wanakumbwa na dhoruba kali kila kukisha. kukurupuka kuoa au kuolewa baada ya miaka au miezi michache kuna madhara yake ndo haya sasa.
 
Mwone Invisible kuna kaprocess flani hivi kama huwapendi unawapotezea tu

siku hizi anaonekana huyo Mr/Ms. Robot?? tafadahli nipe ramani nifate ningependa kumwona.....
 
siku hizi anaonekana huyo Mr/Ms. Robot?? tafadahli nipe ramani nifate ningependa kumwona.....

Poa ngoja nikutafutie kale kathread kenye maelezo ya kumpotezea mtu.
 
Poa ngoja nikutafutie kale kathread kenye maelezo ya kumpotezea mtu.

sina wa kumpotezea Fide mi namhitaji kila mtu humu in a way or another
we umesema nimwone Invisible n thats my interest.....sema wapi nikamwone sasa hivi
 
aaaaaaaaaagrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr una nini wewe ulilala chawote kwani mbona hunielewi nataka nini aaaaaaaaaaaaaah!!!
leave me alone Fidel!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Si ugonge hapo juu utaona sread ya Invisible kisha gonga kwenye jina lake utamwona. Nenda kale naona unanjaa kali wewe.
 
Si ugonge hapo juu utaona sread ya Invisible kisha gonga kwenye jina lake utamwona. Nenda kale naona unanjaa kali wewe.

kweli nin njaaa ile mbaya.......
hunikaribishi ile supu
 
ndio mana nina sheria ya kuharibu...naharibu mazima!...mkaka sasa hivi yupo lonely haswaa, mdada ndio kashaingia barabarani kwa speed 180, na alivyo mrembo mr anakula kwa macho tu, c aaliyataka mwenyewe? mdada hataki kuckia kitu kinaitwa "kurudiana"...ngoja tumpe muda labda atachange mind.
Blandina Bikra naye kasepa??
 
Blandina Bikra naye kasepa??

my dear huyu mkaka ni yule mume wa shoga yake nyamayao, alikuta sms kwenye simu ya hubby kutoka kwa 'honey', mke kuuliza akapata kipigo paka mimba ikatoka.....upo hapo??
 
Mkuu DC, nadhani hapo inategemea na mkuktadha.....kama ingekuwa private property ki hivyo, isingekuwa mtu anashtakiwa akijaribu kujiua....lakini kwa sheria zetu kujaribu kunywa sumu/kujinyonga ukaponyoka una kesi ya kujibu. why?

Hapo unaongelea sheria za nchi. Je sheria/kanuni za mahusiano zinasemaje pale ambapo mtu akijaribu kutafute independence wakati yuko kwenye ndoa? Katika hili tunaloongelea, bado naamini mwili wa mtu ni personal ila tunakubaliana kushea ili tukamilishe hitaji la mapenzi yetu!

jingine ni kuwa kuchangia huko kwa mwili katika muktadha wa wapenzi/wanandoa ni wakati ule wa conjugal action, otherwise baada ya hapo kila mtu si anabaki na kidude chake😀 of course the abstract meaning ni kwamba wote mmekuwa mwili mmoja, lakini hata katika maana hiyo tunamaanisha mwili mmoja kiroho zaidi na sio the phyisical body kwa maoni yangu.
Sidhani pia kama kuna mtu anaongelea kubinafsisha simu ya mpenzi wake. Tunaongelea suala la kuwa na uhuru usio na mipaka katika hiyo simu na mambo mengine anayomiliki mwenzio kama ilivyo kwa mwili wake!

Kwenye hoja ya Masaki hapo juu, nadhani yeye yupo kwenye huu ulimwengu phyisical,,na niongezee labda passport pia haichangiwi ila pia vyote hivyo inategemea na jinsi mlivyojizoeza tangu mwanzoni..napata ugumu kuapply a rule of thumb hapa as kila case ina namna yake na ni tofauti on its own right.
Hata mimi niko huko huko kwenye dunia unayoiongelea. Ila kwa hulka ya binadamu, unapomzuia kugusa kitu unampatia hamasa ya kupata jibu kwa nini unamzuia. Kama una watoto unaweza kufanya hiyo simple experiment. Kumwambia mwenzio asiguse simu, wallet, brief case, safe cabinet etc ni kumtangazia kuwa una mambo very personal ambayo hutaki ayajue. Kama hutafafanua ni mambo gani, basi unampatia ruhusa ya kutumia akili yake kuyajua. Ndio maana nasisitiza suala la kuusikiliza moyo wako. Ukikwambia mahali fulani kuna kengele ya hatari basi jaribu kuusikiliza kwani usipokuta hiyo hatari ni poa. Ila mara nyingi moyo haudanganyi kwani hauna sababu ya kufanya hivyo.
 
kwani hawa watu...bht c ataseviwa mzee j, caty ataseviwa kaka shy, so kuzuia mtafaruku hapo ni bora tu nijihami kama ni kweli mzee j au ni bht mie nijilkalie kama coni wa cckii, lakini nicmbambe, umenikumbusha ya honey, jana shem kamcal mr anamuomba amcndikize kwa wazee akaombe radhi.....

Utashangaa simu inapigwa saa 2 usiku halafu jina linalotokea, CRDB Azikiwe. Unajiuliza kama benki huwa iko wazi mpaka muda huo!
 
Utashangaa simu inapigwa saa 2 usiku halafu jina linalotokea, CRDB Azikiwe. Unajiuliza kama benki huwa iko wazi mpaka muda huo!

Lol kuna mchuchu mmoja nilikuwa nao kuna siku simu ilikuwa inaiita mezani yeye kaenda kuoga duh kucheck jina nikaona TIJAN BABANGIDA dah nikalicall huyu si Mnigeria dah anapiga simu saizi kwa huyu ana dili nae gani nikaishia kunywea wala sikumuuliza nikachapa mwendo na kujipotezea.
 
my dear huyu mkaka ni yule mume wa shoga yake nyamayao, alikuta sms kwenye simu ya hubby kutoka kwa 'honey', mke kuuliza akapata kipigo paka mimba ikatoka.....upo hapo??
Ah aksante basi mwenzio niko bado kwenye sisy wetu wa jana!
 
Hapo unaongelea sheria za nchi. Je sheria/kanuni za mahusiano zinasemaje pale ambapo mtu akijaribu kutafute independence wakati yuko kwenye ndoa? Katika hili tunaloongelea, bado naamini mwili wa mtu ni personal ila tunakubaliana kushea ili tukamilishe hitaji la mapenzi yetu!

Mkuu, hilo liko wazi kabisa..ndio maana msingi wa hoja nzima hapa ni kukiukwa kwa kanuni mojawapo...nalo ni la kutokumwamini mwenzio, msingi ukiwa eti simu yake ya mkononi imezimwa usiku tena akiwa na wewe! hiyo ni kanuni mojawapo. Ndio maana nikasema kwangu mimi ukiiwekea mfano wa kwamba mwili ni private property lakini unakuwa shared, haiapply hapo.

la pili mkulu DC ni kwamba hata kama mnashare mwili, kuna baadhi ya viungo mwilini mnashare na vingine kwa natural laws hamuwezi kuvishare pia.....unless mnaenda kinyume na sheria za kawaida za maumbile. ndio maana ninasema kuwa mwili mmoja ni katika abstract level zaidi.


Sidhani pia kama kuna mtu anaongelea kubinafsisha simu ya mpenzi wake. Tunaongelea suala la kuwa na uhuru usio na mipaka katika hiyo simu na mambo mengine anayomiliki mwenzio kama ilivyo kwa mwili wake!

hili nalo, linafanana na hoja hapo juu. Ninaamini kwua hakuna uhuru usio na mipaka. uhuru wowote usio na mipaka upo subject to abuse na hili nadhani lipo wazi sana. Ndio maana sawa, simu za wenzi wetu tuna uhuru nazo lakini pia una mipaka yake. Mfano itaonekana kituko kama nikianza kusoma au kusikiliza kila sms au simu inayopigwa kwa mpenzi wangu!

Hata mimi niko huko huko kwenye dunia unayoiongelea. Ila kwa hulka ya binadamu, unapomzuia kugusa kitu unampatia hamasa ya kupata jibu kwa nini unamzuia. Kama una watoto unaweza kufanya hiyo simple experiment. Kumwambia mwenzio asiguse simu, wallet, brief case, safe cabinet etc ni kumtangazia kuwa una mambo very personal ambayo hutaki ayajue. Kama hutafafanua ni mambo gani, basi unampatia ruhusa ya kutumia akili yake kuyajua. Ndio maana nasisitiza suala la kuusikiliza moyo wako. Ukikwambia mahali fulani kuna kengele ya hatari basi jaribu kuusikiliza kwani usipokuta hiyo hatari ni poa. Ila mara nyingi moyo haudanganyi kwani hauna sababu ya kufanya hivyo


hapa kwa upande wangu sipo kwenye level ya KUMZUIA...hata huyu dada hapa sidhani kama AMEZUIWA vile kama amri ya mahakama....ni suala kwamba it has been a norm... and with time it develops to a rule kwamba hiki nifanye na hiki nisifanye. Mkuu usimwamini mtu anakwambia eti amemkataza mkewe/mpenzi wake kushika simu yake...hahahahah....atakuwa anakumislead kabisa!

So, ni muhimu kuwa na some level of privacy between the two of you, unless there is reasonable grounds to breach that privacy. kwangu mimi hapa hajafikia hapo sana sana anaonyesha kuwa HAMWAMINI na HAJIAMINI..which is harmful to the relationship on its own right.
 
Utashangaa simu inapigwa saa 2 usiku halafu jina linalotokea, CRDB Azikiwe. Unajiuliza kama benki huwa iko wazi mpaka muda huo!
Hahahaahahahaha Masaki wajua mwenzio naumwa leo? Sitakiwi kucheka sana ... Eti CRDB Azikiwe mi ctaki aku
 
Utashangaa simu inapigwa saa 2 usiku halafu jina linalotokea, CRDB Azikiwe. Unajiuliza kama benki huwa iko wazi mpaka muda huo!

I salute you men!! kushindana na nyie ni kujipotezea muda na nguvu amabyo ningetumia kufanya kitu kingine cha maana zaidi!!
 
Back
Top Bottom