MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Kuna swali limekuwa lina niumiza kichwa kidogo japo si sana. Hivi karibuni kumeibuka tena mijadala kuhusu muungano, Zanzibar na mustakabali wa taifa letu.
Katika kupitia majibu kwa ju juu (siyo utafiti rasmi) inaonyesha kwamba wengi wetu (walau Watanganyika) wao wana taka aidha ya haya mawili 1)Serikali tatu au 2) Kuvunja muungano.
Kusema ukweli mimi nakubaliana na wengi. Option yangu ya kwanza ingekuwa serikali tatu ila hata inge bidi kuvunja muungano ni bora kuliko yanayo endelea sasa. Maana baada ya hapo Wazanzibar hawata kuwa na "The Tanganyika/Nyerere Excuse".
Ila kwa leo nataka tuchambue serikali tatu. Katika serikali tatu kuta kuwa na options mbili kwa maoni yangu:
1)Serikali za Tanganyika na Zanzibar kupewa nguvu kubwa za kujiamulia na serkali ya URT (United Republic of Tanzania) kuwa na nguvu ndogo na kushughulikia mambo kama foreign affairs, jeshi nk.
2)Serikali ya URT kuwa na nguvu zaidi na kuamu ni mambo gani serikali za hizi nchi zitaachiwa.
3) Kugawa nguvu nusu kwa nusu (in theory) kwa serikali za Tanganyika na Zanzibar na serikali ya URT. Kwa maana hiyo serikali zote zina kuwa kama check kwenye hizo nyingine.
Nadhani options zote zita hitaji debate kubwa maana tuki chagua chaguo lisilo basi ni maumivu tena.
Katika kupitia majibu kwa ju juu (siyo utafiti rasmi) inaonyesha kwamba wengi wetu (walau Watanganyika) wao wana taka aidha ya haya mawili 1)Serikali tatu au 2) Kuvunja muungano.
Kusema ukweli mimi nakubaliana na wengi. Option yangu ya kwanza ingekuwa serikali tatu ila hata inge bidi kuvunja muungano ni bora kuliko yanayo endelea sasa. Maana baada ya hapo Wazanzibar hawata kuwa na "The Tanganyika/Nyerere Excuse".
Ila kwa leo nataka tuchambue serikali tatu. Katika serikali tatu kuta kuwa na options mbili kwa maoni yangu:
1)Serikali za Tanganyika na Zanzibar kupewa nguvu kubwa za kujiamulia na serkali ya URT (United Republic of Tanzania) kuwa na nguvu ndogo na kushughulikia mambo kama foreign affairs, jeshi nk.
2)Serikali ya URT kuwa na nguvu zaidi na kuamu ni mambo gani serikali za hizi nchi zitaachiwa.
3) Kugawa nguvu nusu kwa nusu (in theory) kwa serikali za Tanganyika na Zanzibar na serikali ya URT. Kwa maana hiyo serikali zote zina kuwa kama check kwenye hizo nyingine.
Nadhani options zote zita hitaji debate kubwa maana tuki chagua chaguo lisilo basi ni maumivu tena.