Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,064
- 18,367
Kiufupi uzi umenigusa sana! Nilianza nkiwa darasa la sita nikaendelea nikawa najaribu kuacha nashindwa!Uliachaje Mkuu?
Mpaka nikamaliza form four bado nikiwa naendelea kufanya huku najaribu kujizuia kwa kupunguza round angalau mara mbili kwa siku!!
Baada ya kuhitimu form four Iringa huko si nikachaguliwa shule flani ya boys tu!! bwana we....nikarudi nyuma tena nikawa addicted kama mwanzoni!
Basi baada ya kuhitimu form six nilipata msichana flani issue ikaja wakati wa kugegedana yaani ata dakika mbili zilikua nyingi mzee ameshalala! Nashukuru na mwenzangu hakuwa mzoefu sana kwani niliaibika sana!!
Baada kushindwa kugegeda na aibu niliyoipata iliniuma sana nikakichukia sana kitendo hicho nikaacha kabisa
Baadaye nilikaa mda mrefu kama semister nzima ya chuo kwani tayari kipindi hicho nilikua chuo hali ikawa kama kawaida!!Nikiri wazi kwa sisi tuliosoma boys tu tatizo ni kubwa kuliko mtu anavyo dhani!!!
.
.
Aibu ya kushindwa kugegeda ndo ilinifanya nikaacha!.
Niishie hapo kwani ni story ndefu sana hapo katikati kuanzia darasa la sita mpaka kufika form four nini kilikuwa kinaendelea