Chuda Kashara
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 849
- 555
- Thread starter
- #21
Mkuu hilo linajulikana....tutoe njia za kuacha badala ya vitisho.Kama unajipenda tafadhali usifanye huo mchezo.
Yani ni zaidi ya cocaine.
Mkuu hilo linajulikana....tutoe njia za kuacha badala ya vitisho.Kama unajipenda tafadhali usifanye huo mchezo.
Yani ni zaidi ya cocaine.
we subiri atajitokeza tu [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ala!...mwenyekiti ni nani huyo?
1.Acha kuangalia pornography.Mkuu hilo linajulikana....tutoe njia za kuacha badala ya vitisho.
Hahahahaaaa Mkuu hizi ni theory tu,...hata wanaosema hivyo bado hawajaacha.1.Acha kuangalia pornography.
2.Usipende kukaa mwenyewe.
3.Fanya mazoezi.
NB.Hiyo namba moja ni mtihani mkubwa,ila ukifanikiwa kuacha basi utakuwa umefanikiwa.
Ni ukweli mkuu hizo pornography ni balaa.Hahahahaaaa Mkuu hizi ni theory tu,...hata wanaosema hivyo bado hawajaacha.
Asante kwa kushea lakini.
naona unatafuta ujuzi mpya ukifanikiwa kuupata utujuzeHivi ukitaka fanya huo mgalala unafanyaje
Noma kweli kweli Mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noma sana nyetoo,!?
Hahahaaa...kwenye post yake ya kwanza kakiri nyeto balaa...sasa anasema anataka ajue inavyopigwa....huyu anatafuta mbinu ya nne au ya tano.naona unatafuta ujuzi mpya ukifanikiwa kuupata utujuze
mkuu
Hivi ukitaka fanya huo mgalala unafanyaje
Lol! kuacha nimeshindwa kabisa Mkuu.....sijui ata nifanyeje.Ni ukweli mkuu hizo pornography ni balaa.
Tuzipe BREAKHizi topic sasa zimekua too much
Aise! asante Mkuu kwa kutushirikisha uzoefu.Daah it was accidentally tu miaka hiyo ya kubalehe nilikua naoga nilikua najipaka sabuni sina hili wala lile kufika kwa mzee nampaka sabuni si akasimama, basi nikawa naendelea tu kumpalaza palaza na mimi nazid kusikia raha tu kuja kutaharuki naona vitu mwaa mwaa mwaaa......hapo ndo safari ilipoanziaga!!!
Kuacha mkuu ni changamoto kubwa sana hasa kama hujaoa. Mfano mzur mimi binafsi sijao ila ninapokua karibu na gf wangu (hapa na maanisha uwepo wake tu ila tunaweza tusifanye mapenzi ila nikimuhitaj naweza kumpata) sifanyi hiyo kitu hata kidogo wala kukiwazia ila ikitokea nimesafiri nipo mbali nae hapo ndo ile personal conflict inapoanza sasa......upande mmoja unasema leo tu fanya si hayupo hapa, akiwepo mbona hufanyagi. Amini nakuambia huu upande unakuaga na guvu hatari unajikuta ule unaokuambia achana nayo unashindwa.
By the way hii kitu ni huruma ya Mungu tu iwapitie vijana hasa kwa kipindi hiki cha kina "chura anarukaruka" ndipo wataweza kujitenga nayo, vinginevyo hakuna muujiza wa kuepuka hicho kitu katika ulimwengu huu wa WhatsApp kuungwa kwenye grup la kutumiwa video za ngono ni 1000/= Tsh
Inabidi waje watujulishe.....ila toka primary hadi leo? wewe ni veteran sasa Mkuu.Primary School mpak siku mjomba kanifuma chumbani nikiwa la 6 tangu siku hyo mpaka nafika form 1 ndo nika anza kuto "*** wanawake Punyeto haikwepeki sasa wale Wanasomea u Budha cjui nin Uchungaji jee? Wanatoaje hisia zao