Swali: Ulianza vipi kupiga punyeto?

Swali: Ulianza vipi kupiga punyeto?

Chuda Kashara

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
849
Reaction score
555
MMU Salam!
Baada ya kukaa na kutafakari sana, nimegundua kuwa nyeto/mgalala ni kama Heroin ama cocaine.
Ina addiction kama ambavyo madawa ya kulevya yalivyo.Mtu akienda soba anasema ameacha ila akirudi mwendo ni ule ule.

Hili nimeshuhudia pale nilipomfuata mzee mmoja wa hekima nyingi kumuomba anisaidie ili niepukane na nyeto ila nilichoambulia ni shangazo kubwa sana.

Nilimueleza yule mzee kwamba mimi nimekuwa mfuasi wa nyeto kwa miaka nane sasa na nataka kuacha kwa hiyo anisaidie.Alicho nijibu yule Mzee kilinishangaza sana, alisema ''Yaani wewe miaka nane ndio unalialia hivyo?....mimi licha ya kuwa na mke pamoja na hela za kutosha kuhonga michepiko, nina miaka 31 tangu nianze kupiga nyeto na bado nipo kwenye game....wewe endelea nayo kijana wangu, nyeto imenipa faida nyingi sana na sina mpango wa kuachana nayo siku za karibuni"

Alo! tuliagana vizuri na yule mzee nami nikarudi zangu ghetto.Nikiwa pale room niliikumbuka na kuilaani siku nilipoanza huu mchezo.

Siku ya kwanza nilikuwa na pakiti za ndom nikavaa moja, kwenye kuivaa nikajikuta nasisimua kule allepo ghafla wazungu wakachomoza.Ilinishangaza sana maana ndio likuwa mara ya kwanza.

Siku mbili baadae nikarudia tena, hapo ndio nyasi za kichaka zikashika moto na kujikuta nagundua mbinu nyingi sana za kunyetoka....miaka mitatu baadaye nikaanza kuangalia porno, treni ikawa imekolea kwenye reli.

Sasa nimefikiri kama tunataka vizazi vijavyo viepukane na hili janga, ni vyema tukaangalia namna tulivyoanza ili tuvikinge na hili janga.

Kama tukiwa karibu na wawazi kwa watoto nyakati za balehe na kuwaepusha na hili janga, tutaweza kupunguza tatizo.

Ndugu wewe ulianzaje hili game?

Una miaka mingapi tangu uanze?

Kama umeacha, ulitumia njia gani?

Karibuni kwa mjadala.
 
chama cha wapiga nyeto (CHAPUTA) nahic watakua na cha kueleza hasa mwenyekiti wao
nahisi kama sijampunguzia miaka ni miaka 15 tangu ameanza huyu atakuwa na uzoefu

hatari sana hii kitu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nilianza nikiwa form 2,nilkuwa hata sjawah jua hii ktu,wakanielekeza,nikaenda kujarbu home skufanikiwa,kesho nkawaeleza kuwa skufanikiwa,wakanieleza vzur,nilpo fika home tena nkatest ikakubal ilikuwa n raha ya ajabu kdogo nidondoke chooni,nikiwa nmetoka bafun najpaka mafuta ngoma ikasimama tena nkaenda choon nkapga tena,nkarud nikiwa nmekaa kbarazan ikasimama tena nkaenda tena choon nkapga,nkatoka baada ya muda tena ikasimama mmh!? Nkashtuka nkaona umekuwa mchezo sasa naweza piz damu nkaacha,ila ukawa mchezo wa kla sku nkienda kuoga napga,kuacha hii ktu n kuhakikisha una K ya permanent ambayo sku yeyote/muda wowote unaweza piga,yaan kfupi n kukaa na mbunye karibu
 
Nilianza nikiwa form 2,nilkuwa hata sjawah jua hii ktu,wakanielekeza,nikaenda kujarbu home skufanikiwa,kesho nkawaeleza kuwa skufanikiwa,wakanieleza vzur,nilpo fika home tena nkatest ikakubal ilikuwa n raha ya ajabu kdogo nidondoke chooni,nikiwa nmetoka bafun najpaka mafuta ngoma ikasimama tena nkaenda choon nkapga tena,nkarud nikiwa nmekaa kbarazan ikasimama tena nkaenda tena choon nkapga,nkatoka baada ya muda tena ikasimama mmh!? Nkashtuka nkaona umekuwa mchezo sasa naweza piz damu nkaacha,ila ukawa mchezo wa kla sku nkienda kuoga napga,kuacha hii ktu n kuhakikisha una K ya permanent ambayo sku yeyote/muda wowote unaweza piga,yaan kfupi n kukaa na mbunye karibu
Kweli kunna mengi mkuu....wewe tangu upate mbunye umeacha kabisa?...una muda gan tangu uache?
 
chama cha wapiga nyeto (CHAPUTA) nahic watakua na cha kueleza hasa mwenyekiti wao
nahisi kama sijampunguzia miaka ni miaka 15 tangu ameanza huyu atakuwa na uzoefu

hatari sana hii kitu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ala!...mwenyekiti ni nani huyo?
 
Back
Top Bottom