kunai kitu mieleka WWE Huwa najiuliza kunaukweli wowote kwenye hili
kwa mwenye ufahamu wa hili jambo atujuze yawezekana kuna wengi hawana ufahamu nalo kama mie
kunai kitu mieleka WWE Huwa najiuliza kunaukweli wowote kwenye hili
kwa mwenye ufahamu wa hili jambo atujuze yawezekana kuna wengi hawana ufahamu nalo kama mie
NITAJIE NI MCHEZO GANI AMBAO REFARII ANARUHUSIWA KUPIGWA...kunai kitu mieleka WWE Huwa najiuliza kunaukweli wowote kwenye hili
kwa mwenye ufahamu wa hili jambo atujuze yawezekana kuna wengi hawana ufahamu nalo kama mie
Ile kweli bana,
We mtu anabamizwa na kiti mgongoni unasema uwongo? ?
RKO ya Randy Orton ni uongo??
Spear ya Roman Reign ni uongo??
Side Kick ya Shawn Michael uongo??
Punch ya THE BIG SHOW je??
Sema sasa sheria zake ndo utata! ! Maana mfano THE SHIELD eti watatu wanaweza kuruhusiwa mtu kama Daniel Bryan!!!
Porn ni kweli itakua mieleka?