Swali: Show za mieleka ni Kweli au Feki?

Mrimi

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
1,691
633
Wakuu leo natoka kivingine, naomba muweke hapa maujuzi yenu.

Hivi, kwenye shows za WWE akina John Cena, Batista, Triple H na wengine wengi wanapiga kweli au is just acting?
Kama ni uongo, inakuwaje, wale mashabiki tunaowaona uwajani vipi?

Na kama ni kweli mafunzo yake yanapatikana wapi, mbona game zake hazirushwi live, mbona anayeonekana kupigwa sana mwishowe ndio anakuwa mshindi, lkn pia mbona mchezo wenyewe uko USA hakuna sehemu nyingine?

Mwisho, mbona tunaambiwa DON'T TRY THIS AT HOME wakati boxing au kickboxing tuna try at home bila shida?

Haya natupia kitu hapa...........
 
swali zuri ila kuna jukwaa lake hapo wapo akina power mabula watakujibu.mods pls move it to related forum
 
swali zuri ila kuna jukwaa lake hapo wapo akina power mabula watakujibu.mods pls move it to related forum

Sina hakika kama nimekosea Forum mkuu. Kuna watu wanasema ile kitu is more computerizes than reality, ndio maana nikaleta hapa watalamu wa IT wa justify validity yake. Sina hakika kama jukwaa la siasa, afya au la watu mashuhuri wanaweza kucomment chochote zaidi ya kuniambia nimetumwa na chama fulani!
 
ile kitu ni kweli,hata kama ni editing hufanywa kuondoa sehemu zinzoweza kumuudhi mtazamaji kama vile kuvuja damu,lugha kali ya matusi n.k. Miili ile ni 'panya wa maabara' I meana jamaa wanakula steroids na strong antipains kama soda vile,njemba zina madaktari wao. Niliwahi kusikia eti wale kuadhimisha 45th birthday huwa ni majaliwa.
 
ile kitu ni kweli,hata kama ni editing hufanywa kuondoa sehemu zinzoweza kumuudhi mtazamaji kama vile kuvuja damu,lugha kali ya matusi n.k. Miili ile ni 'panya wa maabara' I meana jamaa wanakula steroids na strong antipains kama soda vile,njemba zina madaktari wao. Niliwahi kusikia eti wale kuadhimisha 45th birthday huwa ni majaliwa.

Wrestling entertainment is real dude.
Tatizo wengi wana compare vi-miili vyao na kipigo wanacho weza kuhimili
vs wacheza mieleka.
Wale watu wanapitia mafunzo ya mda mrefu sana,kwa mfano,Daniel Obrian kafanya mazoezi hayo kwa
miaka 13 kabla ya kusajiliw rasmi wwe.
pamoja na hayo wanakula vyakula vya maana
tofauti na ugali maharage tunaokula mimi na wewe hapa.
Pamoja na hayo wana madaktari wao bingwa,kiasi kwamba mda wowote tu akiumia anaweza kutibiwa
na kuweza kurudi ulingoni mapema sana.
Nitakupa mifano michache sana kukuonesha uhalisia wa mieleka.

1.WWE chief operating officer (COO) wa sasa,yaani Triple H,...alivunjwa shingo mwezi huu
kwenye survivor series na kelvin nash,kwa sababu hiyo anatarajiwa kukosekana ulingoni na kazini
pia kwa miezi takribani miwili.......Niambie maigizo ambayo watu wana vunjana mashingo.

2.Edge,mcheza mieleka mashuhuri,mwanzoni mwa mwaka huu wa 2011 ali staafu kucheza
mieleka baada ya kulazimishwa kufanya hivyo na madaktari wake kufuatia kuvunjika shingo mara tatu
mfululizo na ikaonekana kwamba akivunjika tena itakua vigumu kupona.
Hayo ni maigizo?

3.Owen Hart,alifariki mwaka 1999 ulingoni alipokua akipigana na Blue Blazer,....tokea hapo wrestling entertainment
imekua ikifanya kila liwezekanalo kuzuia hali kama hiyo ikiwa ni pamoja na kuwa na Medical specialists wengi kila wanapo
kwenda kucheza.,.....

4.Sio kwamba mchezo wa mieleka upo USA peke yake,...in fact hata Tanzania wanaweza kucheza wakiamua kwani
hua wanafanya tour nyingi sana.Kabla ya surviror series ya 20.11.2011 walikua England kwa week mbili.,....
Lately walikua mexico,wamefungua matawi yao china,wapo na matawi yao south africa,...etc

I love wresting,.....
 
Jamani muwe mnafanya utafiti kabla ya ku comment...ile show sio feki...ni real kabisa ila tu mambo yote wanayoyafanya pale ni kwamba wapo HIGHLY TRAINED for that..wanapitia mazoezi mengi sana na matunzo wanayopata ni ya kipekee maalum kwa ajili hiyo...mbona kuna wachezaji walishawahi kufariki wakiwa jukwaani au kuumia vibaya?? Kuna kufariki feki hapo..!?? Na ndo maana hawarushi live sababu kuna vitu vingi vya ku edit ikiwemo maneno na hata baadhi ya matukio ambayo yanakuwa si rahisi ku display wazi kwa jamii...wale wanaoingia kwenye hizi show ndo wanafaidi kwa kupata vitu live na huwa wanatangazaga wapi watakuwa..bei za tickets na siku watakayokuwa wanafanya show zao...na si kweli kuwa wapo USA tu..south africa wanayo, mexico na hata argentina niliwahi sikia wanayo hii michezo...ishu ni ushabiki tu...mafano marekani ni wapenzi sana wa Basket ball na unafuatiliwa sana kuliko soccer ukiwngalia show zao nyingi za michezo unaweza dhani kuwa basketball inachezwa marekani tu kumbe wapi...ushabiki..!! Tanzania ulete mieleka wakati hata soccer lenyewe ligi yetu inatushinda kuendesha wataweza kumudu gharama za michezo kama mieleka??!!
 
Wrestling entertainment is real dude.
Tatizo wengi wana compare vi-miili vyao na kipigo wanacho weza kuhimili
vs wacheza mieleka.
Wale watu wanapitia mafunzo ya mda mrefu sana,kwa mfano,Daniel Obrian kafanya mazoezi hayo kwa
miaka 13 kabla ya kusajiliw rasmi wwe.
pamoja na hayo wanakula vyakula vya maana
tofauti na ugali maharage tunaokula mimi na wewe hapa.
Pamoja na hayo wana madaktari wao bingwa,kiasi kwamba mda wowote tu akiumia anaweza kutibiwa
na kuweza kurudi ulingoni mapema sana.
Nitakupa mifano michache sana kukuonesha uhalisia wa mieleka.

1.WWE chief operating officer (COO) wa sasa,yaani Triple H,...alivunjwa shingo mwezi huu
kwenye survivor series na kelvin nash,kwa sababu hiyo anatarajiwa kukosekana ulingoni na kazini
pia kwa miezi takribani miwili.......Niambie maigizo ambayo watu wana vunjana mashingo.

2.Edge,mcheza mieleka mashuhuri,mwanzoni mwa mwaka huu wa 2011 ali staafu kucheza
mieleka baada ya kulazimishwa kufanya hivyo na madaktari wake kufuatia kuvunjika shingo mara tatu
mfululizo na ikaonekana kwamba akivunjika tena itakua vigumu kupona.
Hayo ni maigizo?

3.Owen Hart,alifariki mwaka 1999 ulingoni alipokua akipigana na Blue Blazer,....tokea hapo wrestling entertainment
imekua ikifanya kila liwezekanalo kuzuia hali kama hiyo ikiwa ni pamoja na kuwa na Medical specialists wengi kila wanapo
kwenda kucheza.,.....

4.Sio kwamba mchezo wa mieleka upo USA peke yake,...in fact hata Tanzania wanaweza kucheza wakiamua kwani
hua wanafanya tour nyingi sana.Kabla ya surviror series ya 20.11.2011 walikua England kwa week mbili.,....
Lately walikua mexico,wamefungua matawi yao china,wapo na matawi yao south africa,...etc

I love wresting,.....


Sawa mkuu nimekusoma, ila unaonaje ukipitia hapa Is WWE Wrestling Real Or Fake? kabla ya kwenda nyumbani?!
 
Jamani muwe mnafanya utafiti kabla ya ku comment...ile show sio feki...ni real kabisa ila tu mambo yote wanayoyafanya pale ni kwamba wapo HIGHLY TRAINED for that..wanapitia mazoezi mengi sana na matunzo wanayopata ni ya kipekee maalum kwa ajili hiyo...mbona kuna wachezaji walishawahi kufariki wakiwa jukwaani au kuumia vibaya?? Kuna kufariki feki hapo..!?? Na ndo maana hawarushi live sababu kuna vitu vingi vya ku edit ikiwemo maneno na hata baadhi ya matukio ambayo yanakuwa si rahisi ku display wazi kwa jamii...wale wanaoingia kwenye hizi show ndo wanafaidi kwa kupata vitu live na huwa wanatangazaga wapi watakuwa..bei za tickets na siku watakayokuwa wanafanya show zao...na si kweli kuwa wapo USA tu..south africa wanayo, mexico na hata argentina niliwahi sikia wanayo hii michezo...ishu ni ushabiki tu...mafano marekani ni wapenzi sana wa Basket ball na unafuatiliwa sana kuliko soccer ukiwngalia show zao nyingi za michezo unaweza dhani kuwa basketball inachezwa marekani tu kumbe wapi...ushabiki..!! Tanzania ulete mieleka wakati hata soccer lenyewe ligi yetu inatushinda kuendesha wataweza kumudu gharama za michezo kama mieleka??!!
Hapa napo palinishangaza kidogo: Is wrestling fake in any way Hebu pitia hapo ukipata muda boss!!
 
Hata mimi niko kwenye dilemma. Real OR an Act?! Mi nahisi vyote kwa pamoja. Kwa sababu, kuna kipindi wanaonyesha wanamieleka wawili au watatu wanaongea. Ukiangalia unaona jinsi wanavyoongea ni pure acting. Mara b'dae watabadilikiana, na kupigana huko behind the scene.Watafukuzana.....,sijui..Ila nadhani kuna mawili kwa pamoja,the acting part,na the real part..
 
Watch this short clip and then decide for yourself!

 
Last edited by a moderator:
ile kitu ni kweli,hata kama ni editing hufanywa kuondoa sehemu zinzoweza kumuudhi mtazamaji kama vile kuvuja damu,lugha kali ya matusi n.k. Miili ile ni 'panya wa maabara' i meana jamaa wanakula steroids na strong antipains kama soda vile,njemba zina madaktari wao. Niliwahi kusikia eti wale kuadhimisha 45th birthday huwa ni majaliwa.

hulk hogan ni zaidi ya miaka 45, na nature boy pia, to name just a few
 
They actually wrestle to a certain degree. Just not to the point to hurt each other as they portray. Yes the writers pick the winners. I wouldn't call it real but I wouldn't classify it as fake either. I guess entertainment is a good description for it.
 
They actually wrestle to a certain degree. Just not to the point to hurt each other as they portray. Yes the writers pick the winners. I wouldn't call it real but I wouldn't classify it as fake either. I guess entertainment is a good description for it.

Mkuu umepitia hizo links mbili tofauti nilizotoa hapo juu?
If yes, haven't you seen any cotradiction?
 
Wakuu WWE is not for real but just play acting. Haina tofauti na jinsi wanvyo act movie. They follow a script and every move is pre-planned. Kama umeangalia hiyo clip ya Youtube hapo juu utaelewa ninamaanisha nini. Kwa uhakika zaidi just go to Youtube and watch some of the clips there.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom