abagabo
Senior Member
- Jun 4, 2014
- 155
- 168
EWURA haiko chini ya wizara ya nishati na madini, Bali ipo chini ya wizara ya maji na umwagiliaji.
TANESCO ndo ipo chini ya wizara ya nishati na madini. Je, kama ewura imekubali ombi la TANESCO la kupandisha umeme hata kama Muhongo hakuwa na taarifa, ni sahihi Muhongo kuwaandikia barua ya katazo badala ya kuwa andikia barua hiyohiyo TANESCO akiwataka wasitekeleze ongezeko hilo?
Lakini je, mbona hakuwa cc wizara ya MAJI, ambao ndo bosi wa EWURA?
TANESCO ndo ipo chini ya wizara ya nishati na madini. Je, kama ewura imekubali ombi la TANESCO la kupandisha umeme hata kama Muhongo hakuwa na taarifa, ni sahihi Muhongo kuwaandikia barua ya katazo badala ya kuwa andikia barua hiyohiyo TANESCO akiwataka wasitekeleze ongezeko hilo?
Lakini je, mbona hakuwa cc wizara ya MAJI, ambao ndo bosi wa EWURA?