Swali: Muhongo kuielekeza EWURA ni sahihi wakati haiko chini ya wizara yake?

MI NAXAN DAWA NIKUPUNGUZA MAJUKUMU EWURA ...ILI AWE NA MAJI TU TENA MAJI SAFI NA TAKA....

NAHAYO MAENEJI NAYO YAELEKWE KWA MUHONGO....ILI KUONDOA MKANGANYIKO
 
EWURA kuwa chini ya wizara ya maji sio sahihi au sivyo nishati ziundiwe mdhibiti wake na EWURA wabaki kuratibu mambo ya maji tu.
 
Tunachotaka ni gharama za Umeme ZISIPANDE.

Sasa kama EWURA ipo chini ya Wizara ya Kilimo au sijui Wizara gani...it has nothing to do with our daily life..!!

Gharama za umeme zisipande na kwa hatua ambayo Prof Muhongo umechukua mpaka sasa tunashukuru.

Lazima Waziri wa Nishati usimamie lile tamko lako kwamba umeme hautopanda bei.
hivi unajua kirefu cha EWURA?
 
Kama tanesco ndiyo ilipendekeza bei mpya kwa ewura,,,ina maana kulikuwa na mawasiliano katiya tanesco (ambayo ipo chini ya waziri wa nishati)
Kama tanesco iliweza kufanya mawasiliano na ewura iweje waziri wa nishati ashindwe kuwasiliana na ewura kwa jambo lilelile?
Kumbuka apa waziri wa nishati kasimamisha jambo lililopendekezwa na chombo(tanesco)toka wizara yake.

Hapana mkuu, EWURA inaongozwa na sheria iliyoiunda ya EWURA Act ambayo pamoja na mambo mengine sehemu ya 111 inawataka EWURA wafanye mashauri na waziri husika pale penye utata kuhusu sekta husika.

Angalia hapa kwa makini:


PART III
POWERS AND PROCEEDINGS OF THE AUTHORITY (ss 16-25)


16. General powers

(1) Subject to the Provisions of this Act, the Authority shall have power to do all things which are necessary for or in connection with the performance of its functions or to enable it to discharge its duties.

(2) Without limiting the powers conferred under subsection

(1), the Authority shall also have the following powers:
(a) Such powers as may be conferred on it by the sector legislation;
(b) the power to appoint an administrator to manage the business of a regulated supplier whose licence to operate has been cancelled as may be provided under sector legislation.

17. Power to regulate rates and charges

(1) Subject to the provisions of sector legislation and licences granted under the legislation, the Authority shall carry out regular reviews of rates and charges.

(2) In making any determination, setting rates and charges or establishing the method for regulating such rates and charges, the Authority shall take into account–

(a) the costs of making, producing and supplying the goods or services;

(b) the return on assets in the regulated sector;

(c) any relevant benchmarks including international benchmarks for prices, costs and return on assets in comparable industries;

(d) the financial implications of the determination;
(e) the desirability of establishing maximum rates and charges, and in carrying out regular reviews of rates and charges;
(f) any other factors specified in the relevant sector legislation;
(g) the consumer and investor interest;
and (h) the desire to promote competitive rates and attract market;
(i) any other factors the Authority considers relevant.

(3) The Authority shall publish in the Government Gazette all the rates, tariffs and charges regulated by the Board.


Halafu na hii sehemu ya 19

19. Power to hold inquiries

(1) The Authority may conduct an inquiry where it considers it necessary or desirable for the purpose of carrying out its functions.

(2) The Authority shall conduct an inquiry before exercising a power to–
(a) grant, renew or cancel a licence other than a class licence;
(b) regulate any rate or charge;
(c) adopt a code of conduct.

(3) The Minister may specify in a direction under subsection


(2) a time within which the Authority shall submit its report on the inquiry and if so the Authority must submit its report to the Minister within that time.
(4) The Authority shall give notice of an inquiry by–
(a) publishing a notice in the Gazette and in a daily newspaper circulating generally in Tanzania specifying the purpose of the inquiry, the time within which submissions may be made to the Authority, the form in which submissions should be made, the matters the Authority would like submissions to deal with and in the case of an inquiry conducted at the direction of the Minister, the Minister's terms of references;


(b) sending written notice of the inquiry, including the information in paragraph
(a) to–
(i) service providers known to the Authority whose interests the Authority considers are likely to be affected by the outcome of the inquiry;
(ii) the Consumer Consultative Council;
(iii) industry and consumer organisations which the Authority considers may have an interest in the matter;
(iv) the Minister and sector Ministers having responsibilities for utilities and transport sectors.

Hivyo EWURA kutangaza gharama mpya za umeme wanakuwa wamekiuka kanuni na muongozo wa kisheria sehemu ya 19 ila wapo sawa katika sehemu ya 16 na 17.
 
Kwa hiyo Tanesco hawakumjulisha waziri mwenye dhamana au kutuma taarifa wizara ya nishati kabla ya kupeleka maombi Tanesco?
Kwamba waziri hakuwahi kusikia kuhusu mchakato wa upandishwaji huo kajua baada ya umeme kupanda?
Kama haya yote yalijulikana basi waziri na aseme wazi ongezeko hili limezuiwa kutokana na mwitiko hasi/ malalamiko ya wananchi baada ya upandishwaji wa gharama. Na si vinginevyo.
 
Kisheria Waziri mwenye mammals na Ewura ni waziri Wa Maji na Muhongo hana mamlaka ya kuingilia maamuzi ya mdhibiti..he was suppose to send it to TANESCO.. Kisheria amekosea ila Kwa sababu nchi hii sikuizi inaendeahwa Kwa woga Wa matamko, acha niangalie muvi inayoendelea

Zaidi wanatumia akili za marehemu meya
 
Miss Tanzania hakukosea kwanza alienda onyesha uhodari wetu wa kutojali muda na kushinda mitandaoni. Baada ya kushindwa pia akaonyesha umaridadi wetu wa kulalamika lalamika. KWANI KIPI JEMA,UMEME UPANDE BEI AU LA?
 
Sasa ndo maana nkakwambia una akili ndogo sana na hujui kitu Muhongo alitakiwa kumuandikia Barua Tanesco sababu ndo ipo chini yake na si ewura sababu ewura wapo chini ya wizara ya maji na pia udhaifu mwingine kasahau kuwacopy Tanesco ambao ndio wahusika wakuu sasa unavyomwambia mwenzio ana IQ ndogo nashangaa kuona kumbe wewe ndo una akili ndogo hujui chochote muombe radhi jamaa
Umesoma na kuelewa content ya ile barua? Na aliyetoa tamko ni Tanesco au Ewura? Jamani najua mnataka kuonekana maGT lakini msilazimishe hoja mbovu kuonekana za maana.
 
Hakuna anaependa umeme upande..... Suala ni waziri Muhongo kuingilia maamuzi ya ewura. Anataka kutuendesha kwamba naye kasikia tangazo vyombo vya habari?
 
Kwani mpaka tanesco wanatuma barua ewura ya charge rasing, Je muhongo hakushirikishwa na tanesco wakati tanesco ipo chini ya wizara yake? Hizi ni drama
 
EWURA haiko chini ya wizara ya nishati na madini, Bali ipo chini ya wizara ya maji na umwagiliaji.

TANESCO ndo ipo chini ya wizara ya nishati na madini. Je, kama ewura imekubali ombi la TANESCO la kupandisha umeme hata kama Muhongo hakuwa na taarifa, ni sahihi Muhongo kuwaandikia barua ya katazo badala ya kuwa andikia barua hiyohiyo TANESCO akiwataka wasitekeleze ongezeko hilo?

Lakini je, mbona hakuwa cc wizara ya MAJI, ambao ndo bosi wa EWURA?
ewura wachumia tumbo wangefutwa au wangekuwa wanapewa ruzuku kutoka serikalin ili kuwabana! wanachezea ela zetu kwenye makato ya umeme na mafuta!
halafu kuwa chn ya wizara ya maji ni uzembe kwa kuwa maisha yao yanategemea umeme na mafuta! walitakiwa wawe chn ya ofisi ya raisi mipango
 
EWURA haiko chini ya wizara ya nishati na madini, Bali ipo chini ya wizara ya maji na umwagiliaji.

TANESCO ndo ipo chini ya wizara ya nishati na madini. Je, kama ewura imekubali ombi la TANESCO la kupandisha umeme hata kama Muhongo hakuwa na taarifa, ni sahihi Muhongo kuwaandikia barua ya katazo badala ya kuwa andikia barua hiyohiyo TANESCO akiwataka wasitekeleze ongezeko hilo?

Lakini je, mbona hakuwa cc wizara ya MAJI, ambao ndo bosi wa EWURA?
Ebu soma Kifungu cha 17 na 19 cha Sheria ya EWURA - http://www.tanzania.go.tz/egov_uploads/documents/EWURA-Act-Cap-41_sw.pdf
swali lingekuwa je Waziri ana mamlaka hayo ya kusitisha maamuzi yaliyofuata taratibu za EWURA. Kama ni hivyo basi nafikiri pale kwenye ushindani itakuwa na kasoro sana kuruhusu Waziri mhusika wa EWURA na Mawaziri wa sekta kuingilia maamuzi!
 
Watanzania.....HAPA KAZI TU.
Kama muhusika anachelewa kufanya kazi yake..wewe rukia kiti chake na fanya hiyo kazi.Kilaa ntu afanye kila kazi.
HONGERA WAZIRI tunakumbuka kauli yako UMEME HAUPANDI N'GO
 
Wewe ndo una akili ndogo hujui chochote kisheria Muhongo hana mamlaka hayo Ewura ipo chini ya wizara ya maji na hata hiyo barua Tanesco hawajakopiwa wakati wao ndo wahusika wakuu
Acha uongo wewe. Kama hujui nenda kasome uelewe. Ewura ipo chini ya wizara mbili tofauti. Na Ewura inatakiwa kuwasilisha report yake ya mapendekezo iliyoyaridhia kwa waziri mwenye dhamana kabla hawajayatangaza. Ewura hawajafanya hivyo.
 
Ebu soma Kifungu cha 17 na 19 cha Sheria ya EWURA - http://www.tanzania.go.tz/egov_uploads/documents/EWURA-Act-Cap-41_sw.pdf
swali lingekuwa je Waziri ana mamlaka hayo ya kusitisha maamuzi yaliyofuata taratibu za EWURA. Kama ni hivyo basi nafikiri pale kwenye ushindani itakuwa na kasoro sana kuruhusu Waziri mhusika wa EWURA na Mawaziri wa sekta kuingilia maamuzi!

Sitaki porojo, nataka kujua mambo mawili;
1. Ewura iko chini ya Muhongo au hapana?
2. Muhongo anayo mamlaka ya kufuta maazimio ya ewura au hapana?
Tuanzio hapo kwanza.
 
Acha uongo wewe. Kama hujui nenda kasome uelewe. Ewura ipo chini ya wizara mbili tofauti. Na Ewura inatakiwa kuwasilisha report yake ya mapendekezo iliyoyaridhia kwa waziri mwenye dhamana kabla hawajayatangaza. Ewura hawajafanya hivyo.
Zamani ewura ilikuwa chini ya wizara ya nishati na madini baada ya hii wizara kuelemewa ewura ikaamishwa ikawa chini ya wizara ya maji sasa nashangaa unavyosema ewura ipo chini ya wizara mbili hivi upo serious au unatania ndugu? ?halafu si lazima kucomment sana kama kitu hujui ni heri usome upite kuliko kuona na wewe umeandika kitu nimeamua kukufungua akili ndugu yangu
 
Kisheria Waziri mwenye mammals na Ewura ni waziri Wa Maji na Muhongo hana mamlaka ya kuingilia maamuzi ya mdhibiti..he was suppose to send it to TANESCO.. Kisheria amekosea ila Kwa sababu nchi hii sikuizi inaendeahwa Kwa woga Wa matamko, acha niangalie muvi inayoendelea
Ebu jaribuni kutumia akili zenu jamani.
Mkurugenzi wa EWURA ndiye aliyetoa public Notice hivyo MHONGO yupo sahihi kabisa kwakua Public Notice iliyotolewa inalihusu shirika la TANESCO iliyopo chini ya Wizara ya Mhongo.


Lakini vile vile unapaswa kujua kwamba UWURA ni taasisi kama zilivyo taasisi zingine hivyo hakuna taasisi iliyojuu ya Waziri pasipo kujali kwamba Waziri wa Wizara gani.
 
Mkuu thesym naomba unielewe, hapa natafuta mamlaka aliyonayo Muhongo kwa ewura. Siungi mkono upandishaji gharama za umeme. Je, ikiwa ewura watakomaa, Muhongo analo LA kufanya? Kumbuka tanesco mpaka sasa haijapata maelekezo yoyote kutoka kwa Muhongo
Ninahisi waliopeleka ewura kwenye wizara ya maji kidogo halmashauri yao ya kichwa haikua sawa ilipinda kidogo

Kazi zote zinazofanya ewura zinausu wizara, ya nishati na madini
Inakuaje wanaipeleka wizara ya maji au walikua na maslai yao binafsi? Sababu hii nchi wafanyabiashara wanaeza kuamua secta hata ya kilimo kua katika wizara, ya michezo kama wana maslai yao
 
Back
Top Bottom