Mashimba Son
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,107
- 1,364
Wambie wakomae wamgomee mhongo asiwaingilie, Mh Raisi atawasaidia.Mkuu thesym naomba unielewe, hapa natafuta mamlaka aliyonayo Muhongo kwa ewura. Siungi mkono upandishaji gharama za umeme. Je, ikiwa ewura watakomaa, Muhongo analo LA kufanya? Kumbuka tanesco mpaka sasa haijapata maelekezo yoyote kutoka kwa Muhongo