Swali la x-mass

Swali la x-mass

ugasa

Senior Member
Joined
Oct 21, 2013
Posts
193
Reaction score
52
Kwanini Makao makuu ya dini yapo Ulaya.

katoliki - Italia
Cathodic - Ujeruman.
Angalikan - Uk.
Wasabato - Marekani

nijuavyo mimi, Yesu aliishi sana maeneo ya IRAQ, SYRIA, ISRAEL na kidogo Egypt.Nchi za ulaya ndio za mwisho kufikia ujumbe wa YESU wala hakuna historia ya kwamba aliwahi kufika.
Kwanini makao makuu yasingaliuwa maeneo haya badala yake yamehamia nchi hizo?.

Hili ni swali naomba njibiwe kwa ustaarabu ili nielewe.
 
Kwanini Makao makuu ya dini yapo Ulaya.

katoliki - Italia
Cathodic - Ujeruman.
Angalikan - Uk.


nijuavyo mimi, Yesu aliishi sana maeneo ya IRAQ, SYRIA, ISRAEL na kidogo Egypt.Nchi za ulaya ndio za mwisho kufikia ujumbe wa YESU
Kwanini makao makuu yasingaliuwa maeneo haya.

Hili ni swali naomba njibiwe kwa ustaarabu ili nielewe


samahani ndugu katika maisha yangu yote ya Ukristo sijwahi kusikia kitu Cathodic,ni nini hiki...ni dhehebu gani?....ni dini mpya?
nawasilisha
 
samahani ndugu katika maisha yangu yote ya Ukristo sijwahi kusikia kitu Cathodic,ni nini hiki...ni dhehebu gani?....ni dini mpya?
nawasilisha
samahani. hayo mengine jee? unaweza kujibu japo hayo
 
hivi kwanini makao makuu ya dini ya kiislamu yapo nchi za kiarabu? Mecca
 
Muhammad alifika Tanzania? Yesu alifika Tanzania? Kuna hata nabii mweusi katika dini yeyote ile? Kwanini Mungu hakutaka mtu mweusi hata mmoja tu aeneze dini yake angali mwanzo? Kwanini tunaabudu dini ambazo hazina uhusiano kabisa na asili yetu?
 
Muhammad alifika Tanzania? Yesu alifika Tanzania? Kuna hata nabii mweusi katika dini yeyote ile? Kwanini Mungu hakutaka mtu mweusi hata mmoja tu aeneze dini yake angali mwanzo? Kwanini tunaabudu dini ambazo hazina uhusiano kabisa na asili yetu?
swali la msingi kwanini Makao makuu yapo Ulaya? kwani asili yetu sisi nini? si udongo? udogo nhaupo dunia nzima? hayo mengine yako ni ngojera
 
swali la msingi kwanini Makao makuu yapo Ulaya? kwani asili yetu sisi nini? si udongo? udogo nhaupo dunia nzima? hayo mengine yako ni ngojera

Uko biased hadi hapo. Vitabu vya dini ndio vinasadiki asili yetu ni udongo na vitabu hivi sio asili yetu vililetwa tu hivyo bado hujajibu swali.
 
Kwa imani ya wakristo(walio wengi sio wote) mzungu pekee ndo mwenye akili ndo maana inakua tabu kumuona PAPA MWEUSI.
 
Uko biased hadi hapo. Vitabu vya dini ndio vinasadiki asili yetu ni udongo na vitabu hivi sio asili yetu vililetwa tu hivyo bado hujajibu swali.
swali. kwanini iwe roma na isiew jarusaleem?
 
Duh, sijui makanisani tunafuata nini kama hizi dini hatujazichambua kwanza. Soma kwanza historia ya hizi dini ndio utajua kwa nini makao makuu yapo hapo yalipo.
 
ukitaka kujua maswali ya kinafiki ni haya! kwa nini makao makuu ya UN yawe USA? au OAU yawe Ethiopia? Mbona "Full Bible Fellowship Hq ipo TZ? mbona baba na mama wanalala chumba kimoja na kila mwanafamilia anaona sawa ila baba mdogo na shangazi wakilala chumba kimoja inakuwa nongwa? au Mbona EAC hq yake ipo Arusha? Mbona wafuasi wa mtume Mohamed (S.A.W) hawana makao makuu ya dini yao? mbona wafuasi wa dini hii wanatumia kiarabu katika ibada yao badala ya lugha zao za asili?
 
swali la msingi kwanini Makao makuu yapo Ulaya? kwani asili yetu sisi nini? si udongo? udogo nhaupo dunia nzima? hayo mengine yako ni ngojera

Kwakweli hata mimi sijui kwanini. Lakini kuna ubaya gani makao makuu yakiwa huko? Mi ni mwenyeji wa Moshi, lakini sijui ni kwanini makao yangu makuu yako Dar. Na sijawahi kuona ubaya wake.

Labda utuambie ni lazima makao makuu yawe alipozaliwa mwanzilishi wa jambo?

Maswali yanaweza kuwa mengi. Kwanini makao makuu ya UN yako Marekani? Makao makuu ya FIFA ndipo mpira wa miguu ulipoanzia? Kwanini makao makuu ya AU yawe Adis Ababa? Kwanini... kwanini ziko nyingi sana.

Mwisho wa siku utakuta makao makuu hutokea kwa uamuzi au makubaliano tu. Baaas. Hayana uhusiano wowote na imani.
 
Kwa imani ya wakristo(walio wengi sio wote) mzungu pekee ndo mwenye akili ndo maana inakua tabu kumuona PAPA MWEUSI.

kwa imani ya waislam (walio wengi na mbumbu) Mwarabu ndo mwenye akili na ndio maana inakuwa taabu kuona swala au mafunzo ya dini hii inakuwa katika lugha ya kiarabu na si vinginevyo
 
Back
Top Bottom