Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
swali. kwanini iwe roma na isiew jarusaleem?
Na ni kwanini yawe Yerusalem na sio Bethlehem?
swali. kwanini iwe roma na isiew jarusaleem?
Kwa imani ya wakristo(walio wengi sio wote) mzungu pekee ndo mwenye akili ndo maana inakua tabu kumuona PAPA MWEUSI.
ukitaka kujua maswali ya kinafiki ni haya! kwa nini makao makuu ya UN yawe USA? au OAU yawe Ethiopia? Mbona "Full Bible Fellowship Hq ipo TZ? mbona baba na mama wanalala chumba kimoja na kila mwanafamilia anaona sawa ila baba mdogo na shangazi wakilala chumba kimoja inakuwa nongwa? au Mbona EAC hq yake ipo Arusha? Mbona wafuasi wa mtume Mohamed (S.A.W) hawana makao makuu ya dini yao? mbona wafuasi wa dini hii wanatumia kiarabu katika ibada yao badala ya lugha zao za asili?
Kwanini Makao makuu ya dini yapo Ulaya.
katoliki - Italia
Cathodic - Ujeruman.
Angalikan - Uk.
Wasabato - Marekani
nijuavyo mimi, Yesu aliishi sana maeneo ya IRAQ, SYRIA, ISRAEL na kidogo Egypt.Nchi za ulaya ndio za mwisho kufikia ujumbe wa YESU wala hakuna historia ya kwamba aliwahi kufika.
Kwanini makao makuu yasingaliuwa maeneo haya badala yake yamehamia nchi hizo?.
Hili ni swali naomba njibiwe kwa ustaarabu ili nielewe.
kwa imani ya waislam (walio wengi na mbumbu) Mwarabu ndo mwenye akili na ndio maana inakuwa taabu kuona swala au mafunzo ya dini hii inakuwa katika lugha ya kiarabu na si vinginevyo
Kumbuka kuwa uislam ni mfumo wa maisha uliokamilika kila kitu kimeshaelekezwa kwenye maandiko, suala la kutumia Lugha moja kwenye ibada lina maana kubwa ambayo wewe huwezi kuielewa. mfano mmoja tu kwa kutumia lugha hiyo mimi naweza kwenda nchi yeyote dunia iwe china au kwingineko na nitaweza kuswali bila shida yeyote, lakini dini nyingine hawawezi kufanya kama wanavyofanya waislam. umeelewa sasa?
Muhammad alifika Tanzania? Yesu alifika Tanzania? Kuna hata nabii mweusi katika dini yeyote ile? Kwanini Mungu hakutaka mtu mweusi hata mmoja tu aeneze dini yake angali mwanzo? Kwanini tunaabudu dini ambazo hazina uhusiano kabisa na asili yetu?
kila jambo linalofanyika katika uislam lina hoja za msingi na ushahidi wa kujitosheleza kama maandiko yanavyotaka, kumbuka dini si suala la asili bali ni mtu anatakiwa kujiridhisha kwa imani unayoifuata kama ni sahihi au la! kwa historia, kusoma vitabu vya dini na mambo mengine mengi.
Kumbuka kuwa uislam ni mfumo wa maisha uliokamilika kila kitu kimeshaelekezwa kwenye maandiko, suala la kutumia Lugha moja kwenye ibada lina maana kubwa ambayo wewe huwezi kuielewa. mfano mmoja tu kwa kutumia lugha hiyo mimi naweza kwenda nchi yeyote dunia iwe china au kwingineko na nitaweza kuswali bila shida yeyote, lakini dini nyingine hawawezi kufanya kama wanavyofanya waislam. umeelewa sasa?
Hawezi kuelewa kichwa kimejaa funza kwa kula nyama ya nguruwe.
Kinyume chake ni kuwa Ukristo ni imani ambayo inatengeneza mfumo wa maisha ya imani ya Kikristo, na imani hiyo ina maelekezo, na Mungu ndiye aliyetengeneza Lugha (Mwanzo 11:1-9) "kisa cha mnara wa Babeli" - hivyo Mungu anasikia lugha zote na unaweza swali (fanya ibada )kwa lugha yoyote ile na akakusikia, issue hapa ni imani na Mungu anasikia Lugha zote.Kumbuka kuwa uislam ni mfumo wa maisha uliokamilika kila kitu kimeshaelekezwa kwenye maandiko, suala la kutumia Lugha moja kwenye ibada lina maana kubwa ambayo wewe huwezi kuielewa. mfano mmoja tu kwa kutumia lugha hiyo mimi naweza kwenda nchi yeyote dunia iwe china au kwingineko na nitaweza kuswali bila shida yeyote, lakini dini nyingine hawawezi kufanya kama wanavyofanya waislam. umeelewa sasa?
Hawezi kuelewa kichwa kimejaa funza kwa kula nyama ya nguruwe.
hapo kwenye red,Dini zingine ukiacha uislam, "Imani" ndiyo msingi unaojenga na kufanya mfumo wa maisha, imani huzaa matendo na matendo hutengeneza mfumo wa maisha.Kumbuka kuwa uislam ni mfumo wa maisha uliokamilika kila kitu kimeshaelekezwa kwenye maandiko, suala la kutumia Lugha moja kwenye ibada lina maana kubwa ambayo wewe huwezi kuielewa. mfano mmoja tu kwa kutumia lugha hiyo mimi naweza kwenda nchi yeyote dunia iwe china au kwingineko na nitaweza kuswali bila shida yeyote, lakini dini nyingine hawawezi kufanya kama wanavyofanya waislam. umeelewa sasa?
Nashangaa Mungu gani huyo anayefahamu Lugha moja tu? wakati Mungu huyo ndiye aliyeumba/fanya lugha hizo "Mwanzo 11:1-9", mungu fake anasikia kiarabu tu..Looh Mungu wa ajabu huyo? /SIZE]Nikienda China ntakuwa nimesahau kiswahili kwamba nishindwe kusali. Au Mungu hajui kiswahili?
Hawezi kuelewa kichwa kimejaa funza kwa kula nyama ya nguruwe.
Nikienda China ntakuwa nimesahau kiswahili kwamba nishindwe kusali. Au Mungu hajui kiswahili?
Paulo ni mtume??????????????/