jerrytz
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 5,980
- 4,284
Kwanini Makao makuu ya dini yapo Ulaya.
katoliki - Italia
Cathodic - Ujeruman.
Angalikan - Uk.
Wasabato - Marekani
nijuavyo mimi, Yesu aliishi sana maeneo ya IRAQ, SYRIA, ISRAEL na kidogo Egypt.Nchi za ulaya ndio za mwisho kufikia ujumbe wa YESU wala hakuna historia ya kwamba aliwahi kufika.
Kwanini makao makuu yasingaliuwa maeneo haya badala yake yamehamia nchi hizo?.
Hili ni swali naomba njibiwe kwa ustaarabu ili nielewe.
Tatizo ni wewe kufuata dini za watu.